27/07/2026
Walisema viongozi hawapatikani. Mimi nasema kiongozi wako anafaa awe DM moja tu mbali.
si slogan. Ni kazi kwa ground.
Bura, kijana wa Dagoretti South, alinifikia akiwa na shida mbili:
• Anataka opportunity ya kazi.
• Pikipiki yake ilishikiliwa na polisi, ambayo ndiyo source yake ya income.
Nilimwambia ukweli. Green Army applications zimefungwa kwa sasa. Hakuna siasa. Hakuna promises za uongo.
Lakini hapo ndiyo leadership inaanza.
Nikaomba details za pikipiki yake ili tuone namna tunaweza kusaidia. Kwa sababu kwa kijana wa Dagoretti South, pikipiki si luxury. Ni biashara. Ni rent. Ni school fees. Ni maisha.
Viongozi wengi wanaamini leadership ni kukata ribbons na kupiga picha.
Sisi tunaamini leadership ni kusimama na watu wetu hata kwa vitu ambavyo wengine wanaona ni “vidogo.”
Kwa sababu hakuna shida ya kijana ambayo ni ndogo.
Youth First Agenda Means:
• Kijana akitafuta kazi, tunamsikiliza.
• Kijana akipoteza source yake ya income, tunasimama naye.
• Kijana akiwa na idea, tunampa platform.
• Kijana akituma message, anapata response.
Government Must Deliver. Leadership Must Show Up.
Dagoretti South ina maelfu ya vijana wenye ndoto kubwa lakini opportunities ndogo. Hiyo ndiyo tunataka kubadilisha.
Jiunge na Movement:
• Share post hii na kijana mmoja wa Dagoretti South.
• K**a wewe ni mentor, biashara owner au community leader, tushirikiane kujenga opportunities kwa vijana.
• Jiunge na Digital Army na uwe sehemu ya movement hii. +254707702561
Dagoretti South Lazima Ishine! 🔥
Hatujengi campaign. Tunajenga movement. Hatuwatafuti voters. Tunajenga future ya Dagoretti South.