𝗕𝗮𝗯𝘂 𝗠𝘁𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮

  • Home
  • Russia
  • Moscow
  • 𝗕𝗮𝗯𝘂 𝗠𝘁𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮

𝗕𝗮𝗯𝘂 𝗠𝘁𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from 𝗕𝗮𝗯𝘂 𝗠𝘁𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮, Political organisation, Rusia, Moscow.

…taarifa ya kwanza isiyo rasmi, inadai kwamba aliuawa…Taarifa ya pili isiyo rasmi, inadai kwamba ana majeraha makubwa, h...
10/07/2026

…taarifa ya kwanza isiyo rasmi, inadai kwamba aliuawa…

Taarifa ya pili isiyo rasmi, inadai kwamba ana majeraha makubwa, hasa sehemu za usoni…

Taarifa ya tatu, isiyo rasmi, inadai kwamba ametengwa na utawala mpya wa Iran 🇮🇷, ndiyo maana hajahudhuria mazishi ya baba yake…

👉🏾 Taarifa “rasmi” kutoka utawala
huo mpya, inasema kwamba hakutakiwa kuhudhuria mazishi hayo kwa sababu za kiusalama… 🤷🏾

👉🏾 Waandishi wa habari kutoka Ukimani wamejazana huko Iran 🇮🇷, lakini hakuna wanachokifanya zaidi ya kupiga picha na wanawake wa Iran 🇮🇷, madukani...

👉🏾 Hakuna hata mmoja anayedadisi au kuchunguza kuhusu ukweli wa hali ya huyu mheshimiwa...

👉🏾 Itoshe tu kusema ya kwamba Ukimani mna waandishi wa habari kanjanja na takataka!… 🚮🚮🚮

Usisahau kunifollow Kwa kugusa Link hii 👇👇
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

BADO HAMJAELEWA TU?WAKO wapi wanaharakati wenu waliokuwa wanahamasisha maandamano? Wako wapi waliokuwa wanasema leo 77 m...
07/07/2026

BADO HAMJAELEWA TU?

WAKO wapi wanaharakati wenu waliokuwa wanahamasisha maandamano? Wako wapi waliokuwa wanasema leo 77 mnatoka kuandamana?

TULIWAAMBIA hawa ni kunguru! Hawana guts za kuandamana na kuingia barabarani kuandamana hata hatua 5 hawana huo uwezo.

ILA sasa ni mahodari sana kuchochea watoto wa watu kuingia mitaani na kufanya vurugu wakati wao wameufyata mkia na hawathubutu kutoka ndani leo..

SISI tunataka watoke mbele na waje barabarani kuongoza haya maandamano yao ya kuchoma moto vituo vya mafuta na mali za watu.. Tunawataka waje tuwaone ..

M###! 😡

Usisahau kunifollow Kwa kugusa Link hii 👇👇
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

…maandamano yamebuma, kwa aibu wanadai kuwa “wamefanikiwa kuwaweka watu ndani na kutotoka nje…” 🤣Wanasema eti “wafanyabi...
07/07/2026

…maandamano yamebuma, kwa aibu wanadai kuwa “wamefanikiwa kuwaweka watu ndani na kutotoka nje…” 🤣

Wanasema eti “wafanyabiashara sijui hawajafungua maduka…” 😁

Yaani mlitaka wafungue maduka yao ili muwaibie tena mali zao k**a mlivyofanya last time? 😁

Tuliwaambia hakuna kitu huyu Maria Sarungi anaweza kufanya akiwa kwao Budapest kikafanikiwa, mkawa hamtaki kusikia…. Kiko wapi sasa? 🤷🏾

Nifollow Kwa kugusa Link hii 👇👇
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

MHAYA atabaki kuwa mhaya tu, Kuna ile kauli wanasema kuwa " Wahaya wanasifa" ndo hii sasa. Washroom za kwenye basi zao h...
25/06/2026

MHAYA atabaki kuwa mhaya tu, Kuna ile kauli wanasema kuwa " Wahaya wanasifa" ndo hii sasa. Washroom za kwenye basi zao hawatumii maji ya Bomba bali wanatumia special water kabsaa kutoka kampuni ya UHAI.🙌🙌🙌🙌.

…ndio ile unaishi Ulaya/ Marekani/ Canada, unakaa unatuma pesa Ukimani, eti ujengewe nyumba… 😁Yaani wee kazi yako ni kut...
25/06/2026

…ndio ile unaishi Ulaya/ Marekani/ Canada, unakaa unatuma pesa Ukimani, eti ujengewe nyumba… 😁

Yaani wee kazi yako ni kutuma pesa tu… Kurudi nyumbani kujionea mwenyewe maendeleo ya ujenzi, hutaki… Unatuma pesa tu… 😁

Siku mambo yanakataa Ulaya, unaamua sasa kurudi jumla Ukimani, unakutana na hali k**a hii 😁🤷🏾

Jamani, muwe mnarudi nyumbani Ukimani, japo mara moja kwa mwaka, ikiwa kuna mradi wowote unaoendelea huko…

Babu yenu sijawahi kukaa miezi 6 mfululizo Ulaya, bila kurudi Ukimani… Nikichelewa sana ni miezi 8… Hapo maana yake kazi zimenikaba Ulaya…

Actually, wale “diaspora” wasiorudi nyumbani japo kusalimia, ni mawili:
1. Hawana vibali huku Ughaibuni
2. Uchumi mdogo

KWA WANADIASPORA: Usifanye mradi wowote Ukimani ikiwa unajua huna uwezo wa kurudi huko… Utakuja kunishukuru baadae!… 👋🏾

👉Nini kifanyike kukomesha tabia hii ya wadada kwenda kwenye harusi nusu uch?
23/06/2026

👉Nini kifanyike kukomesha tabia hii ya wadada kwenda kwenye harusi nusu uch?

👉Leo nimeamua nitoke out na Kitoto changu Cha 2,000 🤣Kitoto hiki kinanikosha kweli kweli si Kwa maufundi hayo🥱safari hii...
23/06/2026

👉Leo nimeamua nitoke out na Kitoto changu Cha 2,000 🤣
Kitoto hiki kinanikosha kweli kweli si Kwa maufundi hayo🥱
safari hii nitamuoa kabisa hii Damu bado inachemka aisee..!

Nifollow kwa kubonyeza link hiyo hapo chini 👇👇
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

…kwa nini bwana harusi anacheka halafu bi harusi ananuna? 🤔
18/06/2026

…kwa nini bwana harusi anacheka halafu bi harusi ananuna? 🤔

…matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Peru 🇵🇪 bado hayajatangazwa rasmi…Baada ya duru ya pili ya uchaguzi iliyofanyika wi...
17/06/2026

…matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Peru 🇵🇪 bado hayajatangazwa rasmi…

Baada ya duru ya pili ya uchaguzi iliyofanyika wiki iliyopita, kuhesabu kura bado kunaendelea kwa ushindani mkali sana!.::

Kulingana na takwimu za hivi karibuni, Keiko Fujimori (huyo mama) anaongoza kwa 50.051% ya kura dhidi ya 49.949% za Roberto Sánchez (kushoto), tofauti ikiwa ni kura 18,000…

Hizo kura 18,000 ni miongoni mwa kura 30,000 kutoka diaspora…

Yaani diaspora ya Peru 🇵🇪 ndio watakaoamua mshindi wa Urais nchini humo…

Huu ni mmoja wa uchaguzi wenye ushindani mkali zaidi katika historia ya Peru, na matokeo ya mwisho yanaweza kuchukua siku kadhaa au hata wiki kadhaa…

Sijawahi kuelewa kwa nini diaspora ya Tanzania 🇹🇿 hairuhusiwi kupiga kura… 🤷🏾

Diaspora ya nchi nyingi sana, kutoka hapo hapo Barani Ukimani huwa nawaona kila mara wakienda kupiga kura kwenye mabalozi yao hapa Ulaya…

Address

Rusia
Moscow

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 𝗕𝗮𝗯𝘂 𝗠𝘁𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share