Christopher & Diana Mwakasege(Mana Ministry)

Christopher & Diana Mwakasege(Mana Ministry) Yohana 21:17.......Yesu akamwambia, Lisha kondoo zangu.

Miongozo ya Kutafsiri na Kuombea NDOTO Kibiblia kitabu cha 1,2,3 na 4.Kitabu kimoja shs 10,000Vinapatikana ofisi ya Dar ...
24/07/2026

Miongozo ya Kutafsiri na Kuombea NDOTO Kibiblia kitabu cha 1,2,3 na 4.
Kitabu kimoja shs 10,000
Vinapatikana ofisi ya Dar es salam jengo la Luther House ghorofa ya 3 (Kanisa la Azania Front) 0742 525225
Arusha ofisi ya mjini karibu na ofisi za Tanesco 0736 501081.
Kwa wanaohitaji kitabu hiki nje ya mikoa ya Arusha na Dar es salaam,piga simu 0736 501081.
Mungu awabariki sana!

Maamuzi Juu ya Fedha inayopitia Mkononi mwako yaweza kukufanya uwe Tajiri au Maskini.Kitabu ni tshs 10,000Kitabu kinapat...
24/07/2026

Maamuzi Juu ya Fedha inayopitia Mkononi mwako yaweza kukufanya uwe Tajiri au Maskini.

Kitabu ni tshs 10,000
Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar es salaam jengo la Luther House ghorofa ya 3 (Kanisa la Azania Front) 0742 525225
Arusha ofisi ya mjini karibu na ofisi za Tanesco 0736 501081.
Kwa wanaohitaji kitabu hiki nje ya mikoa ya Arusha na Dar es salaam,piga simu 0736 501081.
Mungu awabariki sana!

21/07/2026
07/06/2026

Bwana Yesu Asifiwe!
Tunawakaribisha kwenye semina ya neno la Mungu, Morogoro Mjini katika uwanja wa Morogoro Sekondari. Semina inaanza tarehe 10 hadi 14 Juni 2026, kwanzia saa 9 alasiri hadi saa 12 jioni. Semina itakuwa LIVE kupitia channel yetu ya Youtube, Upendo TV na redio mbali mbali. Mjulishe na Mwingine na Mungu awabariki.

Maamuzi 10 Juu ya Fedha yanayojenga au kubomoa Fikra za Kiuongozi.Kitabu ni tshs 10,000Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar ...
03/06/2026

Maamuzi 10 Juu ya Fedha yanayojenga au kubomoa Fikra za Kiuongozi.

Kitabu ni tshs 10,000
Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar es salaam jengo la Luther House ghorofa ya 3 (Kanisa la Azania Front) 0742 525225
Arusha ofisi ya mjini karibu na ofisi za Tanesco 0736 501081.
Kwa wanaohitaji kitabu hiki nje ya mikoa ya Arusha na Dar es salaam,piga simu 0736 501081.
Mungu awabariki

31/05/2026

Bwana Yesu Asifiwe!
Tunawakaribisha kwenye semina ya neno la Mungu, Tanga Mjini katika uwanja wa shule ya sekondari Usagara. Semina inaanza tarehe 03 Juni hadi 07 Juni 2026, kwanzia saa 9 alasiri hadi saa 12 jioni. Semina itakuwa LIVE kupitia channel yetu ya Youtube, Upendo TV na redio mbali mbali. Mjulishe na Mwingine na Mungu awabariki.

Ujue Ulimwengu wa Roho ili Ufanikiwe katika Maombi yako.Kitabu ni tshs 10,000Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar es salaam ...
21/05/2026

Ujue Ulimwengu wa Roho ili Ufanikiwe katika Maombi yako.
Kitabu ni tshs 10,000
Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar es salaam jengo la Luther House ghorofa ya 3 (Kanisa la Azania Front) 0742 525225
Arusha ofisi ya mjini karibu na ofisi za Tanesco 0736 501081.
Kwa wanaohitaji kitabu hiki nje ya mikoa ya Arusha na Dar es salaam,piga simu 0736 501081.
Mungu awabariki!

Mikakati 7 ya kuujenga Ufalme wa Mungu kwa njia ya Maombi.Kitabu ni tshs 10,000Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar es salaa...
21/05/2026

Mikakati 7 ya kuujenga Ufalme wa Mungu kwa njia ya Maombi.

Kitabu ni tshs 10,000
Kitabu kinapatikana ofisi ya Dar es salaam jengo la Luther House ghorofa ya 3 (Kanisa la Azania Front) 0742 525225
Arusha ofisi ya mjini karibu na ofisi za Tanesco 0736 501081.
Kwa wanaohitaji kitabu hiki nje ya mikoa ya Arusha na Dar es salaam,piga simu 0736 501081.
Mungu awabariki!

Bwana Yesu Asifiwe!Tunawakaribisha kwenye semina ya neno la Mungu, KAHAMA katika uwanja wa Magufuli. Semina inaanza tare...
18/05/2026

Bwana Yesu Asifiwe!
Tunawakaribisha kwenye semina ya neno la Mungu, KAHAMA katika uwanja wa Magufuli. Semina inaanza tarehe 20/5/2025 hadi 24/5/2025, kwanzia saa 9 alasiri hadi saa 12 jioni. Semina itarushwa LIVE Youtube kwenye channel yetu,Upendo TV na redio mbali mbali. Mungu awabariki.

Address

P O Box 2166
Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255739501081

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Christopher & Diana Mwakasege(Mana Ministry) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share