Cassim Sports

Cassim  Sports Kwa Ajili Ya Kuhabarishana Habari za Michezo na Burudani

90+ DODOMA JIJI 3-2 YANGA ⚽️⚽️ Okello⚽️ Mwamnyeto (OG)⚽️ Ambundo⚽️ Waziri Je  Hakuna timu Ambayo haikupotez msimu huu ba...
13/05/2026

90+ DODOMA JIJI 3-2 YANGA

⚽️⚽️ Okello

⚽️ Mwamnyeto (OG)
⚽️ Ambundo
⚽️ Waziri Je


Hakuna timu Ambayo haikupotez msimu huu baad ya yanga kupasuka

AMEANDIKA FARHAN SHABIKI WA SIMBA Allan anaufanya mpira uonekane mwepesi sana, anaamua yeye muda gani afunge na muda gan...
09/05/2026

AMEANDIKA FARHAN SHABIKI WA SIMBA

Allan anaufanya mpira uonekane mwepesi sana, anaamua yeye muda gani afunge na muda gani atoe assist,

Yanga wanaufanya mpira uonekana mwepesi sana utawaambia nini Maxi Nzengele is balling to the Maximum, yule Pacome anaamua tu come one come all na bado anacheza atakavyo,

Yule Dube utaamua wewe umwite Striker ama Kiungo ila he is the real Prince pale mbele,

Yanga Afrika wamepiga game ya maana sana kumshusha pale kileleni ni ngumu zaidi ya kumrudisha Shishi Igunga, kila mtu aandae Mabegi yake niliwahi kusema hawakosei mara mbili Pure Football they just mean business.

✍️ Farhan

Wana Simba si mnaona Farhan mwenyewe kanyoosha Mikono juu?

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : NBC Premier League 🇹🇿YOUNG AFRICANS SC 3️⃣➖️0️⃣ COASTAL UNION FC ⚽️ 18" Okello ⚽️ 63" Okello ⚽️ 71" Nzenge...
09/05/2026

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : NBC Premier League 🇹🇿

YOUNG AFRICANS SC 3️⃣➖️0️⃣ COASTAL UNION FC
⚽️ 18" Okello
⚽️ 63" Okello
⚽️ 71" Nzengeli

Abdihamid Moalin na Patrick Mabedi wameanza kazi ya kukinoa kikosi cha Young Africans k**a wakuu wa benchi la ufundi baa...
07/05/2026

Abdihamid Moalin na Patrick Mabedi wameanza kazi ya kukinoa kikosi cha Young Africans k**a wakuu wa benchi la ufundi baada ya Pedro Goncalves kufutwa kazi hapo jana

AMEANDIKA ALLY KAMWE.Kuwasaidia hawa Machawa wenu ili wawe na kazi rahisi ya kuisema Yanga kuwa imeshuka Ubora Msimu huu...
07/05/2026

AMEANDIKA ALLY KAMWE.
Kuwasaidia hawa Machawa wenu ili wawe na kazi rahisi ya kuisema Yanga kuwa imeshuka Ubora Msimu huu, Futeni kwanza hilo GAPE LA POINTI 5 hapo .. Vinginevyo Hela mnazowapa zinawafanya waonekane wehu tu

Nguvu ya kuisema Yanga iendane na Nguvu ya nyie kushinda. Uwanjani.. Haiwezekani Timu mbovu iwaburuze hivyo 😝😝

UNADHANI NI WACHAMBUZI GANI WAMELENGWA HAPA?

Yanga bila Pacome leo watatoboa ?
06/05/2026

Yanga bila Pacome leo watatoboa ?

“Jana nimemsikia Msemaji wa KMC akiwaambia Waandishi wa Habari kuwa Leo wanakuja kushindana na Yanga kwa ajili ya kuwaru...
06/05/2026

“Jana nimemsikia Msemaji wa KMC akiwaambia Waandishi wa Habari kuwa Leo wanakuja kushindana na Yanga kwa ajili ya kuwarudisha Simba kwenye mbio za Ubingwa”

“Alienda mbali zaidi kwa kusema leo usiku viongozi wa Simba watampigia Simu kumpongeza kwa kazi watakayoifanya Leo.”

“Kwa kifupi, Malengo ya KMC kwenye mechi ya Leo ni kuisaidia klabu ya Simba mbele ya Yanga.”

“Hili Litapita kimya na Halina Uchambuzi wowote. Hutamsikia (JumaAyo) akipiga simu kwenye Mamlaka za Soka kuuliza k**a ni sawa au vipi

“Hutaona mijadala yoyote kwenye radio kwamba KMC wako Ligi Kuu kwa ajili ya kutimiza malengo ya Simba.”

“Subiri sasa siku Msemaji wa timu nyingine aseme wanakwenda kuipa Yanga Ubingwa kwa kuifunga Simba, uone jinsi maandamano ya maandiko yatakavyokuwa kuelekea TFF..

“Niwaombe Mashabiki na Wanachama wenzangu wa Yanga.. Vita inazidi kuwa kubwa sana. Tusirelax hata kidogo.”

“Kama tulivyokubaliana, Huu UBINGWA WA 5 wa Ligi Kuu hautakuwa rahisi. Ni lazima tujidhatiti wenyewe na Focus iwe kwenye chama Letu kutape matokeo mazuri"

✍️Ali Kamwe,
Msemaji wa Yanga.

Ally Kamwe ameanza tambo 🤔
04/05/2026

Ally Kamwe ameanza tambo 🤔

Ahmed Ally 🇹🇿 kuhusu Mohamed Damaro 🇹🇿
04/05/2026

Ahmed Ally 🇹🇿 kuhusu Mohamed Damaro 🇹🇿

Mnyama akijichanganya Tu vita na Yanga Inaisha anaingia vitan  na azam kutafuta nafasi pili
03/05/2026

Mnyama akijichanganya Tu vita na Yanga Inaisha anaingia vitan na azam kutafuta nafasi pili

03/05/2026

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cassim Sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share