14/05/2026
SERIKALI KUNUNUA MELI MBILI ZA UVUVI WA BAHARI KUU 2026/2027
katika Mwaka 2026/2027, miradi na kazi zitakazotekelezwa kwa kuzingatia vipaumbele vya Wizara ni pamoja na Kukamilisha ununuzi wa meli mbili (2) za Uvuvi wa Bahari
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, wakati
akiwasilisha bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/27, Bungeni jijini Dodoma leo mei 14, 2026.