03/07/2026
Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu, huduma na shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Tume katika banda lake kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.