07/04/2026
Mkurugenzi, Menejimenti na Watumishi wote wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) tunaungana na Watanzania wote katika Maadhimisho ya Miaka 54 ya Kumbukizi ya kifo cha Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.