06/05/2025
Mwenyezi Mungu ameijaalia ardhi ya Pwani Mama Mwenye hekma, Elimu na maono mapama . Mpanbanaji , fikra zake wakati wote anaiwaza Pwani yake na Mafia yake. Leo imekuwa siku ya kumbukumbu muhimu ya kuzaliwa kwa Mama yetu Mama wa ACT Mkoa wa Mwambao Riziki Shahari Kila la hera Allah akupe afya njema kwa ajili ya kuwapambania watu wako. Happy Birthday Mama