Halmashauri ya Mji Tarime

Halmashauri ya Mji Tarime Ukurasa maalumu wa Halmashauri ya mji Tarime mkoani Mara, Tanzania.

Mkurugenzi wa shule ya Dr. Winani Memorial Pre and Primary Madam Rhobi Winani amekabidhi jezi kwa timu ya Netball ya Hal...
04/06/2026

Mkurugenzi wa shule ya Dr. Winani Memorial Pre and Primary Madam Rhobi Winani amekabidhi jezi kwa timu ya Netball ya Halmashauri ya Mji Tarime

Akipokea Jezi hizo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tarime Bi. Gimbana Ntavyo amemshukuru mdau huyo wa Michezo kwakuwa sehemu ya maendeleo ya michezo katika Halmashauri hiyo


πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

Hongera sana Bi. Kimori Moremi Manyima Muuguzi kiongozi kitengo cha Huduma ya Uzazi na afya ya mtoto Hospitali ya Mji Ta...
03/06/2026

Hongera sana Bi. Kimori Moremi Manyima Muuguzi kiongozi kitengo cha Huduma ya Uzazi na afya ya mtoto Hospitali ya Mji Tarime kwakuwa mfanyakazi hodari wa mwezi wa Mei

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

30/05/2026

Mashindano ya UMITASHUMTA Mkoa wa Mara kutumia vumbi Shule ya Sekondari Tarime Halmashauri ya Mji Tarime

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

Mkuu wa Wilaya Tarime Mhe. Meja Edward Gowele amewaongoza Watumishi wa Halmashauri ya Mji Tarime na wananchi mbalimbali ...
29/05/2026

Mkuu wa Wilaya Tarime Mhe. Meja Edward Gowele amewaongoza Watumishi wa Halmashauri ya Mji Tarime na wananchi mbalimbali wa Kata ya Bomani kufanya usafi katika Msitu wa Bomani ikiwa ni mwendelezo wa kuifanya Tarime Mji kuwa ya kijana na kupunguza vitendo vya kiarifu vilivyokuwa vikifanywa kwenye msitu

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

Makarani Waongoza wapiga kura leo wamepewa mafunzo na kula kiapo ikiwa ni maandalizi ya kuelekea marudio ya uchaguzi kwa...
28/05/2026

Makarani Waongoza wapiga kura leo wamepewa mafunzo na kula kiapo ikiwa ni maandalizi ya kuelekea marudio ya uchaguzi kwa Kata ya Ketare unaotarajia kufanyika tarehe 01/06/2026


Eid Mubarak πŸ„ 🐐 πŸ‘
27/05/2026

Eid Mubarak πŸ„ 🐐 πŸ‘

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe. Meja. Edward Gowele amewataka Watendaji wa Kata zote Halmashauri ya Mji Tarime kuendelea k...
26/05/2026

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe. Meja. Edward Gowele amewataka Watendaji wa Kata zote Halmashauri ya Mji Tarime kuendelea kutoa Hamasa kwa wazazi kuchangia chakula watoto wao ili kila mtoto apate chakula wakati akiendelea na masomo

Hayo ameyasema leo wakati wa kuhitimisha kikao cha tathimini ya lishe katika Halmashauri hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmshauri ya Mji Tarime

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe. Meja Edward Flowin Gowele amewataka Watendaji wa Kata zote za Halmashauri ya Mji Tarime ku...
26/05/2026

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe. Meja Edward Flowin Gowele amewataka Watendaji wa Kata zote za Halmashauri ya Mji Tarime kuendelea kuhamasisha wazazi na walezi kuchangia chakula cha watoto mashuleni ili kila mtoto apate chakula wakati wa masomo

Hayo ameyasema leo wakati wa kuhitimisha kikao cha Tathimini ya lishe katika Halmashauri hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Tarime

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

Tangazo la Maombi ya Nyumba Sita za watumishi zilizopo Mtaa wa Magereza  πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ
25/05/2026

Tangazo la Maombi ya Nyumba Sita za watumishi zilizopo Mtaa wa Magereza

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’ͺ

Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo kwa waombaji wa nafasi za msimamizi wa kituo, msimamizi msaidizi wa kituo na Karani mwo...
25/05/2026

Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo kwa waombaji wa nafasi za msimamizi wa kituo, msimamizi msaidizi wa kituo na Karani mwongozaji wapiga kura


Address

45 P. O BOX
Tarime

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halmashauri ya Mji Tarime posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share