06/09/2026
Timu ya mpira wa miguu toka Idara ya Afya Halmashauri ya Mji Tarime imeifunga 3-0 timu ya Mpira wa Miguu toka benki ya NMB Tarime katika mchezo wa kirafiki uliopigwa katika viwanja vya Tarime sekondari ukiwa na lengo la kuboresha mahusiano
πΉπΏπͺ