15/01/2019
Na Rev.Mdiujr katika kona huru.
Karibu katika meza huru ya uwazi.
OLE lKATIKA UCHAWI.
Ezekieli 13:18"useme, Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao wanawake wale,washonao hirizi katika viungo vyote vya mikono, wawekao leso Juu ya vichwa vya kila kimo, ili wawinde roho za watu,je!Mtaziwinda roho za watu wangu,na kuzihifadhi hai roho zenu wenyewe?
Hili ni swali lililoulizwa na kuwahusu watu wa tabia hii ya KUVAA hirizi na kuwafunga watu wengine kichawi!
Hii ole ni mahsusi kwa watu wote walogao kwa mafundo yaani uchawi wa kunuiza kwa kutamka ili wengine wapatwe na MADHILA ama mambo mabaya hasa kwenye njia tunamopita, njia panda,kwenye mikusanyiko ya stendi,shuleni,hospitalini, sokoni nk haya ni maeneo wanayopendelea kuyatumia ili kuziwinda roho za watu wa MUNGU!
MUNGU atawakatilia mbali aina za watu hawa wafuatao WANAOFANYA kazi za uchawi na uvaaji wa hirizi KWENYE VIUNGO vya miili yao na kujitumainia ya kuwa ni kinga kwao:-
1)Alogaye kwa kupiga mafundo,
2)APANDISHAYE pepo,
3)Mchawi,
4)Awaombaye wafu.
Hawa ndiyo machukizo mbele za MUNGU kabisa!
Zaidi Kumbukumbu la Torati 18:11" wala mtu kwa ,wala mtu , wala , wala mtu ."
Kiukweli uchaw si jambo zuri, badilika k**a unajihusisha na uchawi!
Kutoka 22:18" "
Wachawi ni watu wabaya sana hawatakiwi kuishi kwa mujibu wa andiko hili la Kutoka!
Sidhani k**a unawapenda wachawi kanaweza kukuchekea mchana lakini usiku akawa ndiye anayekuja kukuwangia!
Wachawi mbadilike jamani kiyama kipo karibu!
©Rev.Mdiujr®, FOCOAA2™.