Zanzibar Green Voice.

Zanzibar Green Voice. Celebrating flowers,plants �nature and hands on farming through education ,sustainable and gardening

02/06/2026

Karibu Bustanini hakuna kinachopotea kila jani ni mbolea

02/06/2026

Hakuna kinachopotea bustanini 🪴

Mavi ya mbuzi, majani yaliyopaliliwa na mabaki ya magome ya miti vyote vinageuka kuwa lishe ya udongo na mimea.

01/06/2026
01/06/2026

Miche ya Pilipili Kichaa (Bird’s Eye Chili) Inapatikana!

Baada ya kuona pilipili hizi jana, leo tunawaletea miche yenye afya tayari kwa kupandwa kwenye bustani, shamba au vyombo vya kupandia.

Pilipili hizi ni ndogo kwa ukubwa lakini zina ukali wa kipekee na hustawi vizuri katika hali ya hewa ya Zanzibar.

👉Zinapatikana Zanzi Green Voice – Jambiani Mfumbwi Zanzibar.

Zanzibar

Grateful to the women farmers of cinnamon (mdalasini) in Dunga for sharing this beautiful traditional knowledge with me ...
31/05/2026

Grateful to the women farmers of cinnamon (mdalasini) in Dunga for sharing this beautiful traditional knowledge with me ✨

ZanzibarAgro TraditionalWisdom FromNature

🌶️ Tiny but mighty! 🔥Beautiful Bird’s Eye Chili growing at Zanzi Green Voice Garden – Jambiani, Zanzibar.Small fruits, b...
31/05/2026

🌶️ Tiny but mighty! 🔥

Beautiful Bird’s Eye Chili growing at Zanzi Green Voice Garden – Jambiani, Zanzibar.

Small fruits, big flavor, and serious heat! 🌱

Miche inapatikana.

📍 Jambiani, Zanzibar

PlantNursery GardenLife.

Small size. Extreme heat. 🌶️🔥”

Leo tunakuletea mmea wa kipekee unaofanana na muhogo (cassava) lakini unaotumika zaidi kwa urembo wa bustani 🌱✨Majani ya...
30/05/2026

Leo tunakuletea mmea wa kipekee unaofanana na muhogo (cassava) lakini unaotumika zaidi kwa urembo wa bustani 🌱✨
Majani yake ya kuvutia huongeza uzuri wa mazingira na kuifanya bustani ionekane ya kipekee na ya asili zaidi.

🌸 Hii ni sehemu ya kazi yetu ya kuonyesha jinsi asili inavyoweza kutumika kwa biashara, urembo na mazingira endelevu.

📍 Tembelea Zanzi Green Voice – Jambiani kuona aina mbalimbali za mimea ya asili na ya kipekee.

GreenBusiness

Umewahi ku taste ladha ya Chai ya inayojulikana kwa jina la “Kizulu” sio wazulu wa Afrika kusini 😁 ni mmea unaoota katik...
30/05/2026

Umewahi ku taste ladha ya Chai ya inayojulikana kwa jina la “Kizulu” sio wazulu wa Afrika kusini 😁 ni mmea unaoota katika safu za Milima maeneo yenye baridi katika ukanda wa East Afrika. Kisayansi mmea huo unajulikana kwa jina la Osyris lanceolata. Soon chai hii itapatikana Zanzi green Shop Jambiani.

Karibu sana

Address

Jambiani Village
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zanzibar Green Voice. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share