02/01/2021
Katika kuadhimisha miaka 57 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar leo Waziri wa Habari, vijana, utamaduni, Sanaa na michezo, Muheshimiwa Tabia Maulid Mwita ameifungua rasmini hospital ya Huduma za mama na mtoto iliyopo kijijini kwetu Paje.. Ikulu habari Zanzibar Baraza La Vijana Zanzibar Ofisi ya Makamu wa Rais Wizara Ya Habari Wizara ya Kilimo