Halmashauri ya Wilaya Ya Kusini

Halmashauri ya Wilaya Ya Kusini Huu ni ukurasa rasmi wa Baraza la Mji Kusini Unguja

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefa...
02/06/2026

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefanya Mkutano maalum wa kiutendaji na uongozi wa Mkoa, Wilaya na Mbaraza ya Mkoa wa Kusini Unguja.
Lengo la mkutano huo ni kujitambulisha pamoja na kukumbushana mambo mbalimbali ili kuimarisha utendaji wa Mkoa huo.
Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Tunguu.

02/06/2026
22/05/2026

MWENEYEKITI WA BARAZA LA MJI KUSINI MHE. MAKAME RAMADHAN MAKAME AKIZUNGUMZA NA WENYEVITI NA MAKATIBU WA MABARAZA YA VIJANA YA SHEHIA KATIKA UKUMBI WA BARAZA HILO KITOGANI TAREHE 21-05-2026 WAKATI AKIFUNGUA MAFUNZO MAALUM YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

Kikao maalum cha utoaji elimu na kusikiliza changamoto za wananchi wa Shehia ya Mtende
21/05/2026

Kikao maalum cha utoaji elimu na kusikiliza changamoto za wananchi wa Shehia ya Mtende

Mafunzo maalum ya kujenga uelewa juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi pamoja na fursa za mikopo ya 4.4.2.Mafunzo hayo yan...
21/05/2026

Mafunzo maalum ya kujenga uelewa juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi pamoja na fursa za mikopo ya 4.4.2.
Mafunzo hayo yanahusisha Wenyeviti na Makatibu wa Mabaraza ya Vijana ya Shehia pamoja na wawakilishi wa makundi ya wanawake ya Wilaya ya Kusini na yanafanyika katika ukumbi wa Baraza la Mji Kitogani

Address

Kitogani
Zanzibar

Opening Hours

Monday 01:30 - 15:30
Tuesday 01:30 - 15:30
Wednesday 01:30 - 15:30
Thursday 01:30 - 15:30
Friday 01:30 - 15:30

Telephone

+255776889893

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halmashauri ya Wilaya Ya Kusini posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share