21/11/2023
SIKATAI niko na Bwana💘.. but haka kaboy kamekuja kwa plot manze ni fire 😍. To make matters worse, tushaanza kuvibe, number tumeExchange and guess what, kashaniitia date, makofi 😂. I had to lie to my hubby,,, sister yangu mwenye anakaa Nakuru ni msick. I have to attend to her, my hubby being that fine boy too, hakukataa, alikubali then mimi huyo 8pm natoka in the name of going to Nakuru.
Of course siendi Nakuru, naenda kwa kevoh the 2 months old tenant, na kako single sijai ona kakiwa na mtu, makofi 👏 😂.
Natoka naenda hadi tao just to buy time ndio by saa mbili nirudi k**a hubby amelala then niingie kwa Kevo bila wasiwasi 😂. Plan inaenda tu fiti, saa mbili inafika nacall📲 hubby nmwambia babe, guess what nishafika Nakuru, siz stable kiasi so acha nilale tuongee morning😂. Good night love, good night too, story inakatika mimi huyo kwa Kevoh🍆🍑.
Around saa mbili na nusu, tukiwa kwa Kevoh tunasikia mtu akibisha✊ kumbe ni bwana yangu. Of course Kevoh anamjua so ananisignal najificha. Mimi huyo chini ya kitanda. Natense, jasho🥵 manze nikidhani maybe ashajua niko kwa kevoh, kumbe si venye nafikiria, amekuja tu kuomba kitu, makofi 😂😂🔥. "Hey, sasa kevoh, please uko na condom nane unisaidie? Hii kitu🍑 leo lazima inuke mayai choma" now ngoja kwanza, hiyo makofi usipige kwanza, bwana yangu, siko kwa nyumba, condom nane anaomba za nini🤔? Leave alone that one, ju Kevoh alimpea, mtu ambaye sijai ona akiwa na dem condoms anakaa nazo za nini🙄?
As we speak nimetoka Nakuru na 10minutes niko kwangu nabisha✊ bwana amekataa kufungua anasema mimi ni pepo anajua niko Nakuru.🙄
Mlisema bunduki ni pesa ngapi??