13/05/2026
Wakaazi wa kijiji cha Mikinduni eneo la Majembeni katika kaunti ya Lamu wanalalamikia changamoto ya mimea yao kushambuliwa na kuliwa na Ndovu walikithiri eneo hilo.
Wameeleza kwamba ni takriban muda wa mwaka mmoja sasa mahangaisho ya Ndovu yameendelea kushudiwa eneo hilo huku wakipoteza mavuno yao.