15/05/2026
Huuu ndio muonekano wa uwanja mpya wa yanga ambao wamesaini mikataba leo na kampuni ya GSM na kumbuka UPDATES 👇
Uwanja Mpya wa Klabu ya Yanga utamilikiwa kwa asilimia 50% na Klabu ya Yanga na asilimia 50% na Kampuni ya GSM Tanzania Limited.
Ujenzi wa uwanja wa Yanga SC na Kampuni ya GSM Tanzania Limited upo kwenye mfumo wa PARTNERSHIP (Ushirikiano), Yanga SC wao wamechangia ardhi na GSM anatoa fedha.
Wana yanga mnasemajee