Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization

Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization TEMDO ya buni Mtambo wa kisasa mkombozi kwa wazalishi Wadogo na Wakubwa wa Sukari

TEMDO imetoa Mafunzo kwenye Maonesho na Mafunzo ya Biashara ya Mitambo na Mashine za Uzalishaji wa Bidhaa za Viwanda, Ki...
26/09/2023

TEMDO imetoa Mafunzo kwenye Maonesho na Mafunzo ya Biashara ya Mitambo na Mashine za Uzalishaji wa Bidhaa za Viwanda, Kilimo, Mifugo na Bidhaa zinginezo kwenye ukumbi wa SHIRECU yalio andaliwa na Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ya Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu.

TEMDO to Produce Mini-Mills to Boost Sugar Production in Tanzania
12/09/2023

TEMDO to Produce Mini-Mills to Boost Sugar Production in Tanzania

TEMDO yashiriki kwenye uzinduzi wa jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (Pan African Post Uniuon - PAPU) lenye ...
02/09/2023

TEMDO yashiriki kwenye uzinduzi wa jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (Pan African Post Uniuon - PAPU) lenye ghorofa 17. Jengo hili litazinduliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Jengo hili lina uwezo wa kuchukua wafanyakazi wa Menejimenti na Utawala wa PAPU wanaowakilisha nchi zote 45 wanachama wa Umoja huu uliopo chini ya mwamvuli wa Umoja wa Afrika (AU).Umoja wa Posta wa Afrika (PAPU) ni Taasisi maalumu ya Umoja wa Afrika ikiwa na dhima ya kuratibu shughuli zote zinazolenga kuendeleza huduma za posta katika bara la Afrika.

Taasi ya TEMDO imeshinda nafasi ya kwanza kwenye sekta ya Viwanda Vidogo kwenye mashindano ya Kaizen. Tuzo hizo zimetole...
29/08/2023

Taasi ya TEMDO imeshinda nafasi ya kwanza kwenye sekta ya Viwanda Vidogo kwenye mashindano ya Kaizen. Tuzo hizo zimetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil T. Abdullah. Picha habari ni Watalamu wa Kaizen Dr. Sigisbert Mmasi na Allice Ndosi wakipokea Tuzo na Cheti kwaniaba ya Mkurugenzi Mkuu.

Wakurugenzi na Maafisa Wakuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wametembelea  TEMDO kwa lengo la kuangalia Maendeleo ya Te...
24/08/2023

Wakurugenzi na Maafisa Wakuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wametembelea TEMDO kwa lengo la kuangalia Maendeleo ya Teknolojia zinazo tengenezwa k**a vile Mradi wa Vifaa Tiba, Mtambo wa Kuchakata zao la Muhogo, Mtambo wa kuchakata Sukari na Mkonge. Viongozi wa Wizara waliridhishwa na waliipongeza Taasisi kwa Mafanikio chanya yalio fikiwa kwenye utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.

Mkurugenzi Mkuu Mhandisi Prof. Kahimba alimkabizi zawadi ya Nembo ya jina la Wizara ya Viwanda na Biashara (WVB) ilichongwa kwenye chuma kwa Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Utawala Bi. Ingrid Sanda ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Viwanda na Biashara.

Mtalamu wa TEMDO akiwa anaelzea teknolojia kwenye Maonesho ya Nane nane
14/08/2023

Mtalamu wa TEMDO akiwa anaelzea teknolojia kwenye Maonesho ya Nane nane

08/08/2023

TEMDO yashiriki Maonesho ya Nane Nane kanda ya Kaskazini na Mashine za aina mbali mbali kwaajili ya kuongeza dhamani kwenye Mazao; Pia wana Vifaa Tiba kwaajili ya kusaidia hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati hapa Nchini.

Mkulima akipata maelezo ya kina ya teknolojia ya kuchakata zao la chikichi ili kupata mafuta ya kula kutoka kwa Mtalamu ...
07/08/2023

Mkulima akipata maelezo ya kina ya teknolojia ya kuchakata zao la chikichi ili kupata mafuta ya kula kutoka kwa Mtalamu Mosses Chalamila alipo tembelea banda la TEMDO katika maonesho ya Nane Nane kanda ya Kaskazini.

TEMDO ni Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania iliopo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Katika maonesho ya 29 Nane Nane (88) TEMDO imeshiriki na Teknolojia mbalimbali k**a vile Mtambo wa kumamua na kusafisha mafuta ya Alizeti, Mtambo wa kuchakata unga wa Muhogo, Mtambo wa kuchakata siagi ya karanga, Mtambo wa kuchakata unga wa lishe, Mtambo wa kuchakata juisi ya matunda, Mtambo wa kuchakata viungo vya chakula, Mashine ya kutoa mjuzi wa zabibu kwaajili ya viwanda vya mvinyo.

Pia Taasisi imeshiriki na vifaa tiba vya hosipitali k**a vile vitanda vya kuwagulia wagonjwa, vitanda vya kulazia wagonjwa na kujifungulia Wamama wajawazito, Majokofu ya kuifadhia Maiti ya ngazi mbili mpaka sita na pia kiteketezi cha taka hatarishi zinazo zalishwa na hosipitali- "Biomedical Solid Waste Incinerator".

TEMDO ni Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania iliopo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara Katika maonesho y...
06/08/2023

TEMDO ni Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania iliopo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara Katika maonesho ya 29 Nane Nane (88). TEMDO imeshiriki na Teknolojia mbalimbali k**a vile Mtambo wa kumamua na kusafisha mafuta ya Alizeti, Mtambo wa kuchakata unga wa Muhogo, Mtambo wa kuchakata siagi ya karanga, Mtambo wa kuchakata unga wa lishe, Mtambo wa kuchakata juisi ya matunda, Mtambo wa kuchakata viungo vya chakula, Mashine ya kutoa mjuzi wa zabibu kwaajili ya viwanda vya mvinyo.

Pia Taasisi imeshiriki na vifaa tiba vya hosipitali k**a vile vitanda vya kuwagulia wagonjwa, vitanda vya kulazia wagonjwa na kujifungulia Wamama wajawazito, Majokofu ya kuifadhia Maiti ya ngazi mbili mpaka sita na pia kiteketezi cha taka hatarishi zinazo zalishwa na hosipitali- "Biomedical Solid Waste Incinerator".

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Notredame wamefanya ziara ya kimasomo TEMDO kwaajili ya kujionea Ubunifu na Usanifu wa kazi...
03/08/2023

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Notredame wamefanya ziara ya kimasomo TEMDO kwaajili ya kujionea Ubunifu na Usanifu wa kazi za Kihandisi, lengo kuu la ziara ya shule hiyo ni kuwaandaa Wanafunzi wapende masomo ya Sayansi.

Uongozi  na Watumishi wa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) wanapenda kumpongeza Mjumbe wa Bodi Dkt...
22/07/2023

Uongozi na Watumishi wa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) wanapenda kumpongeza Mjumbe wa Bodi Dkt. Liliane Joseph Pasape kwa kupandishwa cheo cha Kitaaluma na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM -AIST) kutoka Mhadhiri Mwandamizi " Senior Lecturer" kuwa Profesa Mshiriki "Associate Professor ". "Hongera sana Prof. Pasape".

Mwenyeketi wa bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) Mhandisi Dkt. Richard Masika (Kulia) akiwa...
10/07/2023

Mwenyeketi wa bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) Mhandisi Dkt. Richard Masika (Kulia) akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TEMDO Mhandisi Prof. Frederick Kahimba Wametembelea Banda la TEMDO katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam

Address

Arusha

Telephone

+255758115782

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization:

Share