20/06/2014
"Mh. Rais, Mama Theresa, Nelson Mandela, Martin Luther Jr na Malcom X Hawakuwa Wabunge Kupigania Haki Za Nchi Yao na Watu Wao, Sihitaji Ubunge Kupigania Ukweli, Haki na Utu. Nahitaji Dhamira Safi, Nia Njema na Huu Utakuwa Wajibu Wangu Mpaka Nakwenda Kaburini, Nitakapo Maliza Mbio Hizi Najua Nitapata Fursa Ya Kutazam Nyuma Yangu Nione Nini Nilifanya, Ukweli Nisingependa Kuona Vituo vya Mafuta, Maghorofa, Magari na Viwanja Vingi Kila Kona Ya Nchi Bali Ningependa Kuona Haki, Usawa na Utu Vikiwa K**a Nguzo Ya Imani Ya Watawala Wetu Watakaokuwepo, Pengine Sitaishi Miaka Mingi Sana K**a Utachukizwa Sana na Waraka Wangu Huu Kwani Polisi, Usalama wa Taifa na Jeshi La Wananchi Wanakutii wewe, Hata Hivyo Siogopi Kufa Kwani Nisipokufa, Kesho, Nitakufa Siku Moja Ambayo Siijui, Napenda Kuishi Maisha Marefu Nimwone Mke na Mtoto Wangu K**a Itawezekana Lakini Kuliko Iwezekana Kwa Kuishi Kwa Hofu Ni Bora Ishindikane Kwa Kuthamini Haki"
MANENO HAYA YA KAMANDA LEMA HUNIFANYA NITAFUTE HAKI POPOTE ILIPO BILA KUJALI Ni VIKWAZO GANI NTAKUMBANA NAVYO.