21/12/2020
Tunapenda kutoa pole kwa Katibu wetu Ndg. Elizabeth Makata kwa kuondokewa na Bibi yake mpendwa, tunapenda pia kuwashukuru viongozi wa chama cha Mapinduzi kata ya Mwananyamala kwa moyo wao wa upendo na kujitoa kwa kumpa faraja mwenzetu kipindi chote cha msiba huu. Ahsante.
Viongozi wanaotoa heshima za mwisho pichani;
Diwani/Mstahiki Meya Mhe. Songoro MNYONGE,
M,kiti CCM kata Bi. Pili MGUNDA,
Katibu CCM kata Ndg. Stanley MVUNGI,
M,kiti UVCCM Ndg. Ramadhan MAULID.
🙏🏿