13/05/2026
Mapipa 80 ya Lita 16,048 za kemikali za Cyclohexanone zilizokamatwa jijini Dar es salaam. Kemikali hizo ziljingizwa nchini na kampuni ya Kinglion Investment Company LTD kinyume na matakwa ya mifumo ya udhibiti ikiwemo kibali kutoka Mamlaka husika.