Search for Common Ground Tanzania

Search for Common Ground Tanzania We work to Transform Violent Conflict and build safe, Health, just society worldwide We strive to build sustainable peace for generations to come.

We work with all sides of a conflict, providing the tools they need to work together and find solutions. Search for Common Ground works in more than 30 countries around the world with 83% of our team local to the country they work in. At Search for Common Ground in Tanzania we work to transform the way people deal with conflict. Conflict and differences are inevitable. Violence is not. We harness

conflict for constructive change. Search works at all levels of society to build sustainable peace through three main avenues: Dialogue+, Media+, and Community+. DIALOGUE+
Whether at the local or national level, we bring people together across dividing lines to discover and achieve shared goals. We work with those traditionally in power and those without a platform, like women and youth. Examples: leadership workshops, town hall meetings, back channel diplomacy, and more. MEDIA+
Media reaches people where they are in their daily lives. We use media to stir up thoughts and discussions across a whole society about the root causes of violence and how to overcome differences. Examples: soap operas, call-in radio shows, comic books, and more. COMMUNITY+
We provide a safe space for people to work out their conflicts at the local level. We think creatively to bring divided communities, neighbors, and families together to discover their common humanity. Examples: participatory theatre, shared farming projects, soccer matches, and more.

Mkutano wa hadhara umeweza kuwakutanisha viongozi mbali mbali kujadili mada zinahusu amani wilayani Tandahimba
30/05/2023

Mkutano wa hadhara umeweza kuwakutanisha viongozi mbali mbali kujadili mada zinahusu amani wilayani Tandahimba

Kususia sio njia ya kumaliza migogoro katika jamii bali kujadiliana na kukubaliana ndio njia sahihi ya kumaliza tofauti ...
30/05/2023

Kususia sio njia ya kumaliza migogoro katika jamii bali kujadiliana na kukubaliana ndio njia sahihi ya kumaliza tofauti na kigogoro iliyopo katika jamii

Mkutano wa hadhara ulifanyika Tandahimba ukiwa umekusanya watu mbalimbali wakiwepo polisi ili kujadili mambo yanahusu amani wilayani tandahimba

30/05/2023

Mdahalo wa pamoja ulifanyika  katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  na wadau mbali mbali walipata nafasi ya kuhudh...
30/05/2023

Mdahalo wa pamoja ulifanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba na wadau mbali mbali walipata nafasi ya kuhudhuria k**a Polisi,Wenyeviti wa mitaa,Afisa maendeleo,Maafisa watendaji,Bodaboda,Viongozi wa dini,Bodaboda na wanawake amabao wote wananafasi kubwa sana ili kujadili sababu zinazopelekea vijana kujihusisha na vurugu za itikadi kali, pia kujadili nini kifanyike ili makundi yote yasijihusishe na vurugu za aina hii wilayani Tandahimba

Pia wameweza kupanga miradi midogo ya kufanya ili kuhakikisha amani inaimarika Wilayani Tandahimba

Mazungumzo ya pamoja yalifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mjini na ambapo watu mbalimbali walihudhuria k**a washawi...
26/05/2023

Mazungumzo ya pamoja yalifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mjini na ambapo watu mbalimbali walihudhuria k**a washawishi kutoka katika jamii ili kubadilishana uzoefu, mawazo, na uelewa wao wa migogoro na majukumu yao katika kuzuia migogoro na watendaji husika wa usalama, huku pia wakiongeza uaminifu na ushirikiano kati ya viongozi wa mitaa, vyombo vya usalama

Pia wameweza kupanga miradi midogo ya kufanya ili kuhakikisha amani inaimarika Mtwara Vijijini

  DISCUSION
26/05/2023

DISCUSION

Mazungumzo ya pamoja yalifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini na watu waliohudhuria ni  washawishi kutoka kati...
26/05/2023

Mazungumzo ya pamoja yalifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini na watu waliohudhuria ni washawishi kutoka katika jamii ili kubadilishana uzoefu, mawazo, na uelewa wao wa migogoro na majukumu yao katika kuzuia migogoro na watendaji husika wa usalama, huku pia wakiongeza uaminifu na ushirikiano kati ya viongozi wa mitaa, vyombo vya usalama

Pia wameweza kupanga miradi midogo ya kufanya ili kuhakikisha amani inaimarika Mtwara Vijijini

Mazungumzo ya pamoja yalifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini na watu waliohudhuria ni  washawishi kutoka kati...
26/05/2023

Mazungumzo ya pamoja yalifanya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini na watu waliohudhuria ni washawishi kutoka katika jamii ili kubadilishana uzoefu, mawazo, na uelewa wao wa migogoro na majukumu yao katika kuzuia migogoro na watendaji husika wa usalama, huku pia wakiongeza uaminifu na ushirikiano kati ya viongozi wa mitaa, vyombo vya usalama

Pia wameweza kupanga miradi midogo ya kufanya ili kuhakikisha amani inaimarika Mtwara Vijijini

Tunawatakia sikukuu njema ya wafanyakazi watanzani wote na watu wote duniani kote
01/05/2023

Tunawatakia sikukuu njema ya wafanyakazi watanzani wote na watu wote duniani kote

Leo tumeweza kukabidhi Camera aina ya Canon D2000 katika kituo cha radio cha   Ambapo ni katika kutoa shukrani ya ushiri...
28/04/2023

Leo tumeweza kukabidhi Camera aina ya Canon D2000 katika kituo cha radio cha

Ambapo ni katika kutoa shukrani ya ushirikiano kati yetu katika masuala ya kujenga na kudumisha amani kwa mradi wa corona yaani Covid19 ambapo walikuwa ni washirika wetu katika kufikisha ujumbe katika jamii

Tunawatakia sikukuu njema ya muungano wa tanganyika na zanzibar
26/04/2023

Tunawatakia sikukuu njema ya muungano wa tanganyika na zanzibar

Handover of 1 seat, 1 table from search for common ground and Mtwango Net These handovers have taken place in search off...
25/04/2023

Handover of 1 seat, 1 table from search for common ground and Mtwango Net These handovers have taken place in search offices in Mtwara where the accountant from Mtwango net (Mtwara Non governmental Network) Mr. Rashidi Zahir has received on behalf of the director

Makabidhiano ya kiti 1,Meza 1 kutoka search for common ground na Mtwango Net
……………………………………………………

Makabidhiano haya yamefanyika katika ofisi za search Mtwara ambapo muhasibu kutoka Mtwango net(Mtwara Non governmental Network) Mr. Rashidi Zahir amepokea kwa niaba ya mkurugenzi

Address

Plot 18, Dahomey Street Near Shoppers Plaza Mikocheni
Dar Es Salaam
11411

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:30
Tuesday 08:00 - 17:30
Wednesday 08:00 - 17:30
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 12:00

Telephone

+255735664765

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Search for Common Ground Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Search for Common Ground Tanzania:

Share