20/11/2023
DALILI 31 ZA MAJINI_MAHABA👹 ZINAVYO FUNGA MAHUSIANO/NDOA NA MAFANIKIO.
1️⃣.Kuwa na dalili zote za mimba,lakini ukipima hakuna mimba
2️⃣.Kitu kucheza tumboni k**a mtoto..
3️⃣.kuchukiwa na watu bila sababu yoyote, na kila ufanyalo wanaona ni baya tu.
4️⃣.Kujiona Bora Sana kuliko mtu yeyote
5️⃣.Kupenda kujitenga na watu
6️⃣.kuwa na hofu kupita kiasi..
7️⃣.Kutokewa na jini live kupitia umbo la Binadamu na kufanya nae (s*x/ngono) kwa njia ya ndoto...
8️⃣.Ahadi za ndoa kutotimia..wewe ni wa Kuahidiwa tu, nitakuoa/tutaowana, lakini huoi wala huolewi.
9️⃣.Kukataa kila mwanaume/Mwanamke anayetaka/kuonesha Nia ya kukuoa/kumuoa
➡️Kujiona mdogo hujafikia umri wa kuolewa/kuoa wakati unamiaka sahihi ya ndoa
1️⃣0️⃣.Kutamani kuolewa /Kuoa baada ya Muda wa kuoa/Kuolewa kupita.
1️⃣1️⃣.Kulazimisha kuoa au Kuolewa na bado ndoa inakuwa ngumu,
1️⃣2️⃣.Kukimbiwa na wachumba..bila sababu ya kueleweka hata ukiwauliza hawana sababu zaidi unajifariji kuwa hawakuwa sahihi na wakati wa Mungu bado kumbe unavifungo.
1️⃣3️⃣.Mipango ya Ndoa kutofanikiwa kabisa.
1️⃣4.Ugomvii ,migogoro na mwenza wako. Cha ajabu akiwa mbali una mmiss unatamani awe karibu na wewe,, akifika unatamani aondoke tu....
1️⃣6️⃣Kuwa na hasira Kali Sana, hasa unapoamka asubuhi...
Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa, ukipona P.I.D,Fangas U.T.I. mala Uvimbe kwenye kizazi, hizo zote ni mbinu za (jini mahaba) hutumia kukufunga..
1️⃣9️⃣.Kukosa hamu kabisa ya tendo landoa na mume/mke, wakati homon zako ziko sawa.
Unasingizia kuwa ni saikolojia issues, kwa sababu uliumizwa unahitaji mtu akuelewe.
2️⃣0️⃣Migogoro isiyoisha na isiyo na sababu ya maana katika mahusiano au ndoa
2️⃣1️⃣Kuchukia kabisa Kuoa /Kuolewa
2️⃣2️⃣Kuota unalea watoto/mtoto
2️⃣3️⃣.Kuota unanyonyesha
2️⃣4️⃣Kuota umejifungua
2️⃣5️⃣.Mimba kutoka
2️⃣6️⃣Kuota unafanya s*x
2️⃣7️⃣.Kuota unaolewa/kuoa
2️⃣8️⃣Kuota unafunga ndoa
2️⃣9️⃣Kuchukiwa au kuchukia mme/Mke
3️⃣0️⃣Huwezi kumpa mimba mkeo lakini michepuko inabeba mimba zako.
Huwezi kubeba mimba ya mumeo lakini ya michepuko unabeba.
3️⃣1️⃣ Huyu jini ana tatizo la kufunga uchumi pia, anakupa uvivu wakutopenda kufanya kazi kabisa. Ukishika pesa hujui zimetumikaje lakini zimeisha.
SEMA BWANA_YESU NIOKOE NA ROHO YA JINI MAHABA
+255716822126
0716 822 126 WHATSAP
✍️By Mtumishi Fahim Rasham💥
Niandikie ujumbe messenger majina yako mahali unaishi, namba ya cm na mahitaji yako nikuombe🙏