Tiba asili

Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba asili, Mlimani city, Dar es Salaam.

Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajifunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja na suluhisho la magonjwa mbalimbali, kama presha, kisukari, shida za mifupa na maungio, bawasili, vidonda vya tumbo, nguvu za kiume, tezi dume, pid,uzazi Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kem

ikalu zenye kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali Kama shida zote za uzazi kwa wanaume na wanawake, vidonda vya tumbo, bawasili, gesi tumboni nk, shida za mgongo, maunhio na mifupa kwa ujumla, kisukari, presha , vimbe, Kansa,kupunguza uzito na manyama uzembe, kuondoa sumu na kuimarisha Kinga za mwili

● FAIDA YA MICRO2 CYCLE TABLETS○ Huondoa Hari ya kuganda kwa damu○ Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kw...
10/06/2026

● FAIDA YA MICRO2 CYCLE TABLETS
○ Huondoa Hari ya kuganda kwa damu
○ Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kwa urahisi
○ Inasaidia oxygen na virutubisho kusambazwa kwa urahisi
○ Huongeza ufanisi wa mwili kuweza kujiponya wenyewe
○ Huondoa mafuta kwenye damu
○ Huongeza ufanisi wa macho kuona vizuri
○ Huzuia kuganda kwa damu
○ Huondoa maumivu ya miguu yanayotokana na kuziba kwa mishipa midogo.
○ Ni nzuri kwa kukinga na kuondoa stroki

● VIUONGO
○ Radix Salvia
○ Miltiorhiza
○ Radix Panax Notoginseng
○Borneolum Syntheticum
Coll 0716 843 582

06/06/2026

Karibuni sana kwa huduma nzuri

06/06/2026

Boresha kinga ya mwili wako kwa kutumia bidhaa Pure and Broken Ganoderma Spores Oil! 🌿

✨. Bidhaa yenye asili ya mafuta iliyotegenezwa kwa viambata asili kwa ajili ya kuboresha kinga ya mwili wako.

🌿💪Bidhaa hii inafanya kazi zifuatazo:

✨ Husaidia Kuboresha Afya ya Ini
✨ Husaidia Kuondoa vimbe mbali mbali mwilini

✨ Husaidia Kuondoa sumu mwilini

✨ Husaidia Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

✨ Husaidia Kuondoa uchovu na kuboresha usingizi

✨ Husaidia kupunguza kasi ya ukuaji wa maradhi ya kansa na kutibu kansa

✨ Husaidia kuweka sawa kiasi cha mafuta mwilini

✨ Husaidia Juboresha mfumo wa mazunguuko wa Damu

✨ Husaidia kuboresha Afya ya Kongosho na kuweka sawa kiasi cha sukari Mwilini.

✨ Husaidia kuboresha Afya ya ngozi.

K**a unataka kupunguza uzito na kutengeneza shape kwa njia salama basi jipatie hii packageWhatsapp/call +255716843582
03/06/2026

K**a unataka kupunguza uzito na kutengeneza shape kwa njia salama basi jipatie hii package

Whatsapp/call +255716843582

02/06/2026

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 👇
🌿 Kusagika kwa Pingili za Mgongo
🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo
🌿 Mifupa Kusagana
🌿 Miguu Kuwaka Moto
🌿 Kuhisi Ganzi
🌿 Maumivu ya Shingo, Kiuno
🌿 Kukosa Uteute kwenye Magoti
🌿 Kushindwa Kutembea n.k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 (𝗢𝗘𝗧𝗘𝗢𝗣𝗢𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦) 👇
✍️ Magonjwa ya figo.
✍️ Upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (Menopause) kikomo cha hedhi
✍️ Upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
✍️ Anorexia uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoezi kupita kiasi.

𝗔𝗧𝗛𝗔𝗥𝗜 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗭𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 👇
🍀 Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
🍀 Kupinda Mgongo wakati wa Uzeeni
🍀 Maumivu makali ya Mifupa hasa Katika uti wa mgongo, Mabegani, Kifuani na katika Nyonga.
🍀 Ulemavu wa Kudumu
🍀 Kupata Tatizo la Kiharusi (Stroke)
🍀 Kifo 😥

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️+255716843582

30/05/2026

Karibu upate huduma ya kiwango cha kimataifa

*ELIMU YA UGONJWA WA KISUKARI* Kisukari ni nini?Kisukari (Diabetes Mellitus) ni ugonjwa sugu unaotokea pale ambapo mwili...
29/05/2026

*ELIMU YA UGONJWA WA KISUKARI*

Kisukari ni nini?

Kisukari (Diabetes Mellitus) ni ugonjwa sugu unaotokea pale ambapo mwili unashindwa kutumia au kuzalisha insulini kwa ufanisi, hivyo kusababisha ongezeko la sukari kwenye damu. Insulini ni homoni inayozalishwa na kongosho, na inasaidia kusafirisha sukari kutoka kwenye damu hadi kwenye seli ili kutumika k**a nishati.

*AINA ZA KISUKARI*

*1. Kisukari Aina ya 1*

Hutokea wakati kinga ya mwili inashambulia na kuharibu seli za kongosho zinazozalisha insulini.

Wagonjwa wa aina hii hutegemea sindano za insulini maisha yao yote.

Huonekana zaidi kwa watoto na vijana

*2. Kisukari Aina ya 2*

Hutokea pale ambapo mwili unashindwa kutumia insulini ipasavyo (insulin resistance) au haitoshi.

Mara nyingi huhusiana na mtindo wa maisha usiofaa k**a kula vyakula vyenye sukari nyingi, kutofanya mazoezi, na uzito mkubwa.

Huchangia zaidi ya 90% ya visa vya kisukari duniani.

*3. Kisukari cha Mimba*

Huwapata baadhi ya wanawake wajawazito kutokana na mabadiliko ya homoni.

Mara nyingi huisha baada ya kujifungua, lakini kinaweza kuongeza hatari ya mama kupata kisukari aina ya 2 baadaye.

*DALILI ZA KISUKARI*

■Kukojoa mara kwa mara
■Kiu isiyo ya kawaida
■Njaa kupita kiasi
■Uchovu usioeleweka
■Kupungua uzito bila sababu
■Vidonda vinavyochelewa kupona
■Maambukizi ya mara kwa mara, hasa kwenye ngozi, fizi, au sehemu za siri
■Kupungua kwa uwezo wa kuona

*MADHARA YA KISUKARI KISIPOPATIWA MATIBABU*

K**a kisukari hakidhibitiwi, kinaweza kusababisha madhara makubwa k**a:

■ Shinikizo la damu na magonjwa ya moyo
■ Kupungua kwa uwezo wa kuona au upofu
■ Uharibifu wa figo na hatari ya kushindwa kwa figo
■Kudhoofika kwa mishipa ya fahamu (neuropathy)
■ Vidonda sugu vinavyoweza kupelekea kukatwa viungo (amputation)

*NJIA ZA KUDHIBITI NA KUZUIA KISUKARI*

✅ Kufanya mazoezi mara kwa mara
✅ Kula mlo bora wenye nyuzinyuzi nyingi na mafuta mazuri
✅ Kupunguza matumizi ya sukari na wanga rahisi
✅ Kudhibiti uzito
✅ Kuepuka msongo wa mawazo
✅ Kunywa maji ya kutosha
✅ Kwa walio na kisukari, kufuatilia sukari kwenye damu mara kwa mara na kufuata ushauri wa daktari

Niambie unaona uchafu wa aina gani
27/05/2026

Niambie unaona uchafu wa aina gani

26/05/2026

K**a unateseka na changamoto ya nguvu za kiume, usione soo nichek
Whatsapp/call 0716843582

  FAIDA ZA NOVEL DEPILE BFSUMA ♀️♂️.      ○ Inasaidia kuondoa Bawasiri Sugu, Nyama ya bawasiri au uvimbe na kutoka kwa d...
21/05/2026



FAIDA ZA NOVEL DEPILE BFSUMA ♀️♂️.

○ Inasaidia kuondoa Bawasiri Sugu, Nyama ya bawasiri au uvimbe na kutoka kwa damu.
○ Huondoa maumivu yanayosababishwa na uzito wa miguu.
○Hutuliza mvutano wa mishipa miguuni kunakoweza kusababisha damu kushindwa kurudi kwenye moyo.
○ Husaidia Damu kuzunguka vizuri.
○ Ni Nzuri sana kuondoa mlundikano wa uric acid kwenye maungio inayopelekea kuharibika kwa mifupa (Arthritis)
○ Ni tiba ya kuvimba kwa mishipa inayopitisha damu miguuni (Vericous Veins)
○ Kuboresha uzalishaji wa homoni zinazosaidia ubongo na mwili kufanya kazi.
○ Zinaongeza uzalishwaji wa seli mpya zinanopambana na wavamizi (leukocyte and endothelial cell)
○ Inapunguza mnato wa damu na kurahisisha mzunguko wa damu (blood viscosity and improve blood circulation)
○ Inaboresha mzunguko wa maji mwilini kwenda sehemu zinazotakiwa.

☎️ 0716843582
☎️

WhatsApp Call And Text


BF Suma Africa

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam
234

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share