Skauti Katoliki

Skauti Katoliki UFAFANUZI:
Skauti ni jambo la hiari lisilo la kisiasa
harakati za elimu kwa vijana
watu hufungua kwa wote bila
tofauti ya asili, rangi au imani.

KUSUDI LA HARAKATI ZA Skauti:
Madhumuni ya Harakati za Skauti

12/06/2026

Kiapo cha Viongozi wapya wa Skauti Katoliki Taifa

1. Trh 9/6/2026 - Uchaguzi2. Jimboni Morogoro - Amabilis Centre 3. Mwenyekiti, Katibu na Mtunza hazina wa Skauti Jimbo, ...
12/06/2026

1. Trh 9/6/2026 - Uchaguzi
2. Jimboni Morogoro - Amabilis Centre
3. Mwenyekiti, Katibu na Mtunza hazina wa Skauti Jimbo, Kamati Tendaji ya Taifa iliyomaliza muda, na Mapadre Walezi wa Jimbo

Kamati Tendaji iliyomaliza Muda
1. Sterphord Kazingo - M/Kiti
2. Veronika Mwambuta - M/M/Kiti
3. James Kwembe - Katibu
4. Veronica Kikoko - M/hazina

Ikumbukwe katibu Msaidizi alikuwa Atupakisye Jabiri aliyeitwa na Bwana mwaka 2025.

Viongozi Wapya
1. Sterphord Kazingo - M/Kiti (Mwanza)
2. Veronika Mwambuta - M/M/Kiti(Singida)
3. James Kwembe - Katibu (DSM)
4. Happy Mtatiro K/Msaidizi ( Morogoro)
5. Veronica Kikoko - M/hazina (Kigoma)

Mkutano uliudhuliwa na
1. Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga - Askofu Mlezi Taifa - Skauti Katoliki Tanzania
2. Pd. Liston Lukoo - Padre Mlezi Taifa - Ofisi ya Vijana TEC
3. Watazamaji Kutoka Majimbo Tofauti ( waalikwa)

Tunamshukuru Mungu tumemaliza Salama.

Baada ya yote walifanya ziara ya kichungaji katika Kanisa kuu la Mtakatifu Patrick .
12/06/2026

Baada ya yote walifanya ziara ya kichungaji katika Kanisa kuu la Mtakatifu Patrick .

Baada ya Mkutano wa Uchaguzi, wajumbe wachache walipata nafasi kwenda kumtembelea Bahati camp Morogoro.
12/06/2026

Baada ya Mkutano wa Uchaguzi, wajumbe wachache walipata nafasi kwenda kumtembelea Bahati camp Morogoro.

Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Jimbo kuu laDar es Salaam, wakiwa katika picha ya Pamoja na Mhashamu Askofu M...
12/06/2026

Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Jimbo kuu laDar es Salaam, wakiwa katika picha ya Pamoja na Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga - Askofu Mlezi Taifa - Skauti Katoliki Tanzania
Pd. Liston Lukoo - Padre Mlezi Taifa - Ofisi ya Vijana TEC
Watazamaji Kutoka Majimbo Tofauti ( waalikwa).

Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Morogoro, wakiwa katika picha ya Pamoja na Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaiso...
12/06/2026

Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Morogoro, wakiwa katika picha ya Pamoja na Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga - Askofu Mlezi Taifa - Skauti Katoliki Tanzania
Pd. Liston Lukoo - Padre Mlezi Taifa - Ofisi ya Vijana TEC
Watazamaji Kutoka Majimbo Tofauti ( waalikwa).

Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Jimbo la Kigoma, Picha ya Pamoja na Mlezi wa Taifa Askofu Mkuu Gelvas Nyaison...
12/06/2026

Viongozi na wawakilishi wa Skauti Katoliki Jimbo la Kigoma, Picha ya Pamoja na Mlezi wa Taifa Askofu Mkuu Gelvas Nyaisonga.

Baada ya Uchaguzi Mkuu wajumbe walipata Picha ya Pamoja.Hawa ndio Viongozi wetu na wawakilishi kutoka katika Majimbo kat...
12/06/2026

Baada ya Uchaguzi Mkuu wajumbe walipata Picha ya Pamoja.
Hawa ndio Viongozi wetu na wawakilishi kutoka katika Majimbo katoliki Tanzania.

Address

Isevya
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255654684864

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Skauti Katoliki posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Skauti Katoliki:

Share