05/06/2021
Katibu Mkuu Ndg. Daniel Chongolo na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, jana tarehe 04/06/21 amefanya kikao cha utambulisho na watumishi wa CCM Makao Makuu, ametilia mkazo kuendelea kusimamia Katiba, Kanuni, Taratibu, na Utamaduni wa Chama ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji ndani ya Chama. .