Efatha Church Temeke

Efatha Church Temeke Efatha Church Temeke deals with the mission of healing and deliverance, containing 22 centers, under the Senior regional Pastor Ester Habakuki Hagai
(1)

this page is managed by Efatha ministry temeke, under Senior Regional Pastor Cecilia Mtunda Makundi, we intended to show how God fufill HIS promices to HIS people, basing on all the deads and events that are undertaken in all centres of Efatha Temeke, under control of ICT group of Efatha ministry Temeke, page lunchs all the events in image form and Videos, this is inorder to make all tongues, trib

es, and nations to be disciples of The LORD Jesus christ of Nazareth, son of living God, as it is the vision given to the Apostle and Prophet JOSEPHAT ELIUS MWINGIRA, The anointed one.

KARIBU KATIKA MWEZI WA SEPTEMBA  JIANDAE KUUONA UTUKUFU WA MUNGU KATIKA UKAMILIFU WAKESeptemba ni mwezi wa 9  mwezi wa k...
01/09/2026

KARIBU KATIKA MWEZI WA SEPTEMBA JIANDAE KUUONA UTUKUFU WA MUNGU KATIKA UKAMILIFU WAKE

Septemba ni mwezi wa 9 mwezi wa kukamilishwa, kuzaa matunda, na kuvuna ulichopanda kwa machozi. Milango iliyokuwa imefungwa inakwenda kufunguka, na kila ahadi ya Mungu juu ya maisha yako inakwenda kutimia.

Kila kilichokwama Kinapokea kasi mpya.

Kila chozi Linabadilishwa kuwa kicheko na ushuhuda.

Amani na Baraka Vikatawale nyumba yako na kazi za mikono yako.

“Haki ya Mungu na utukufu wake vikafunikwe katika kila hatua utakayopiga mwezi huu.”

Cc ● Mchungaji Kiongozi Ester Hagai Habak

🔥🙏🏽 WE ARE LIVE! 🙏🏽🔥Tumeingia hewani rasmi! Usibaki kusikia kwa wengine—ingia sasa hivi, jiunge nasi katika ibada na tuk...
30/08/2026

🔥🙏🏽 WE ARE LIVE! 🙏🏽🔥
Tumeingia hewani rasmi!

Usibaki kusikia kwa wengine—ingia sasa hivi, jiunge nasi katika ibada na tukutane kwenye uwepo wa Mungu!

📖🎶 Tap in. Tune in. Worship with us!
WE ARE LIVE NOW! 🔥🕊️



'swill

Njoo tuungane katika ibada ya pamoja jumapili hii tunapokusanyika k**a mwili mmoja kumwabudu Mungu na kuimarishana kiroh...
29/08/2026

Njoo tuungane katika ibada ya pamoja jumapili hii tunapokusanyika k**a mwili mmoja kumwabudu Mungu na kuimarishana kiroho.

Zaburi 133:1 Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, ndugu wakae pamoja, kwa umoja!

karibuni wote tushiriki baraka za nyumba ya Bwana!


Zaburi 24:1-2 “Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.Maana ameiweka misingi yake ju...
23/08/2026

Zaburi 24:1-2 “Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha. ”

Wewe ni mali ya Bwana na vyote ulivyonavyo ni vya Bwana. Mke, mume, watoto na nguvu ulizonazo ni vya kwake, hivyo hata kipato unachopata ni vya kwake, na ukijua hivyo utatoa kwake kwa moyo wa shukrani kwa kujua ya kwamba vyote ni vya kwake.



IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA EFATHA MBAGALA | 23.07.2026 |
23/08/2026

IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA EFATHA MBAGALA | 23.07.2026 |


IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA EFATHA MBAGALA | 23.07.2026 | Zaburi 98:1-4[1]Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Kwa maana a...
23/08/2026

IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA EFATHA MBAGALA | 23.07.2026 |

Zaburi 98:1-4
[1]Mwimbieni BWANA wimbo mpya,
Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.
Mkono wa kuume wake mwenyewe,
Mkono wake mtakatifu umemtendea wokovu.
[2]BWANA ameufunua wokovu wake,
Machoni pa mataifa ameidhihirisha haki yake.

[3]Amezikumbuka rehema zake,
Na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.
Miisho yote ya dunia imeuona
Wokovu wa Mungu wetu.

[4]Mshangilieni BWANA, nchi yote,
Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi.


Mpendwa Karibu Katika ibada hii, tuhudhurie kwa pamoja huku tukiwa na mioyo ya shukrani na utayari wa kumpokea Mungu, il...
22/08/2026

Mpendwa Karibu Katika ibada hii, tuhudhurie kwa pamoja huku tukiwa na mioyo ya shukrani na utayari wa kumpokea Mungu, ili kwa pamoja tushirikiane katika sifa, maombi na kusikiliza neno lake litakalotujenga na kutuimarisha kiroho k**a inavyosema.

(Zaburi 122:1,) "Nilifurahi waliponiambia, Na twende nyumbani kwa Bwana."


Muda wa kukutana naye ni SASA! Usiache dakika hii ipite—ingia katika ibada, fungua moyo wako na furahia uwepo wa Mungu.📺...
16/08/2026

Muda wa kukutana naye ni SASA!
Usiache dakika hii ipite—ingia katika ibada, fungua moyo wako na furahia uwepo wa Mungu.

📺 Tazama IBADA LIVE kupitia
▶️ YouTube:
📘 Facebook:

🔥 Usibaki kusikia habari za ibada—kuwa sehemu yake!
🕊️ Mungu yupo. Ibada iko LIVE. Na muda ni SASA!

Karibu, tuabudu pamoja!



'swill

14/08/2026

SEMINA YA UDHIHIRISHO WA SURA NA MFANO WA MUNGU | 13.08.2026 | KANISA LA EFATHA MBAGALA

Mchungaji Joshua Mwingira | Mchungaji Kiongozi kanisa La Efatha Mbeya


Address

Mbagala
Dar Es Salaam
P.OBOX41587

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Temeke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Efatha Church Temeke:

Shortcuts

Share