24/08/2026
Wanawake katika vyuo na taasisi za utafiti bado wanakabiliwa na changamoto zinazowazuia kupiga hatua katika utafiti na nafasi za uongozi.
Hivi karibuni, Chuo Kikuu cha Mzumbe kiliwakutanisha watafiti wanawake, wahadhiri, Wanachama wa Danida Fellows na wanafunzi wa uzamili mjini Morogoro kujadili changamoto hizi na namna ya kuzitatua.
Ubalozi wa Denmark ulishiriki katika warsha hiyo, iliyofadhiliwa kupitia mpango wa Danida Fellowship Centre wa mwaka 2026.
Majadiliano yalijikita katika ushauri, kujenga mitandao, ushirikiano katika utafiti na uongozi.
_______________
Women in academia continue to face barriers to advancing in research and leadership.
Recently, Mzumbe University brought together women researchers, academics, Danida Fellows and postgraduate students in Morogoro to discuss how to break these barriers.
The Embassy of Denmark attended the workshop, supported through the Danida Fellowship Centre’s 2026 grant.
The discussions focused on mentorship, networking, research collaboration and leadership.