Tanzania Comoros Trade Forum

Tanzania Comoros Trade Forum Tanzania Comoros Business & Investment Forum

05/07/2025
Unlocking Trade & Investment Opportunities in ComorosThe Embassy of United Republic of Tanzania in Union of Comoros in c...
10/04/2025

Unlocking Trade & Investment Opportunities in Comoros

The Embassy of United Republic of Tanzania in Union of Comoros in collaboration with Tanzania Investment Centre and other respective stakeholders have organized the Tanzania - Comoros Business and Investment Forum which is to be held on 28th April 2025 in Moroni.

The forum will focus on the promotion of Business and Investment opportunities in infrastructure, construction, ICT, and financial Sector.

To participate in the forum register via Link on BIO

Merhaba Menji

"Tuunge Mkono Juhudi za Mhe Rais Samia” - Balozi YakubuMheshimiwa Saidi Othman Yakubu,   Balozi wa Jamhuri ya Muungano w...
02/06/2024

"Tuunge Mkono Juhudi za Mhe Rais Samia” - Balozi Yakubu

Mheshimiwa Saidi Othman Yakubu, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa nchini amekutana na Watanzania wanaoishi nchini Comoro tarehe 2 Juni, 2024 na kuwaasa wawe mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuitangaza vyema Tanzania katika jumuiya ya kimataifa.

Mheshimiwa Balozi Saidi Yakubu alitumia fursa hiyo kujitambulisha kwa Watanzania na kueleza mikakati yake pamoja na Ubalozi katika kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Comoro.

Alifahamisha kuwa wananchi wa Comoro wana mapenzi na mahusiano ya karibu na Tanzania. Familia nyingi nchini humo zina ndugu zao upande wa Tanzania. Hivyo, Nchi mbili hizi zina wajibu wa msingi kuimarisha ushirikiano ili kulinda na kuendekeza tunu hiyo muhimu.

Aidha, Mheshimiwa Balozi Saidi Yakubu alifahamisha kuwa Ubalozi una wajibu wa msingi kushughulikia masilahi ya Watanzania nchini humo. Alifahamisha kuwa kwa upande wake aliwasihi Watanzania kuunga mikono juhudi za maendeleo nchini Tanzania kwa kuwa Mabalozi wazuri wa Nchi yao, kutangaza fursa zinazopatikana nchini na kuwaunganisha Watanzania na Wakomoro ili watumie manufaa ya ushirikiano wa kindugu na kihistoria uliopo baina ya Nchi hizi mbili.

Nao Watanzania wanaoishi nchini Comoro walimshukuru Mhe. Balozi Saidi Yakubu kwa hekima na uamuzi wa kuwaona siku chache baada ya kuwasili nchini Comoro. Waliahidi kumpatia ushirikiano na kufuata nasaha zake na waliwasilisha changamoto kadhaa na kuomba zizingatiwe wakati wa mikutano na vikao vya mashauriano katika ngazi ya Kiserikali ili ziweze kupatiwa ufumbuzi. Miongoni mwa maeneo hayo ni changamoto ya visa, kukosekana Bima za mizigo, na ukosefu wa usafiri wa uhakika baina ya Nchi hizi mbili.

Makamu wa Rais Mhe.  akipokelewa na Waziri wa Kilimo wa   Mhe. Houmed Mssaidie jijini MoroniMakamu wa Rais amawakilisha ...
25/05/2024

Makamu wa Rais Mhe. akipokelewa na Waziri wa Kilimo wa Mhe. Houmed Mssaidie jijini Moroni

Makamu wa Rais amawakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Dkt.
Katika uapisho wa Rais Mteule wa
Azali Assoumani

Balozi wa nchini Comoros alikuwepo pia kumpokea Mheshimiwa Makamu Rais

         Balozi mteule wa
21/05/2024

Balozi mteule wa

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255710303880

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Comoros Trade Forum posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Tanzania Comoros Trade Forum:

Share