31/05/2026
Sikiza! Lala nayo hii.ππΏ
Huko nyuma ilikuwa mtu anaweza akaanzisha biashara Tanzania aliyoisajili nje ya nchi. Kisha baada ya miaka mitano ya kupata faida kubwa huku akiwa na msamaha wa kodi(Tax Holiday) anaiuza kampuni na kubadilisha jina. Kampuni mpya inaendelea na biashara ileile huku nayo ikijipatia miaka yake mitano ya msamaha wa kodi. Nchi haipati chochote!π
MfanoππΏ
Celtel=>Zain=>Airtel
KC Mstaafu Zitto Kabwe akabadilisha mchezo huu mwaka 2012 akiwa bungeni Dodoma.
Nimekuwekea video. Msikilize yeye mwenyewe uone akisimulia jinsi mchakato wa kutunga sheria ulivyokuwa kwenye bunge lililotawaliwa na CCM. Tangu sheria hiyo itungwe, nchi yetu inafaidika.πͺπΏ
ACT Wazalendo