20/03/2023
Hii ni picha ya sehemu ya utumbo mdogo (ileostomy) ambayo Minza anaitumia kwa ajili ya kupata choo, baada ya kufanyiwa upasuaji. Anatakiwa kutumia mifuko maalumu (Stoma/colostomy bags) ili kuepusha kupata maambukizi. Tumepata mifuko 50 hadi sasa. Mifuko hiyo ni disposable, means inaweza kutumika mara 1 tu na kutupwa. Mifuko 50 aliyopata inaweza kutumika hardly kwa mwezi mmoja.
Hivyo inahitajika mifuko zaidi. Kwa yeyote mwenye pharmacy na anaweza kujitolea mifuko hii, tafadhali fanya hivyo k**a sehemu ya sadaka yako. Minza akiruhusiwa kutoka hospitali akaenda kutumia matambara, atapata infection, na kazi yote ya matibabu tuliyofanya itakua kazi bure.
Jambo la pili ni kuhusu gharama za matibabu anazodaiwa Bugando 3.4M. Hadi sasa kiasi kilichochangwa ni TZS 2.5M, bado 900K kukamilisha deni hilo la hospitali. Matarajio ni fedha hiyo ilipwe kesho asubuhi ili Minza aende nyumbani. Kuwa sehemu ya kurudisha tabasamu la Minza.
Tuma sadaka yako kwenda M-PESA 0752581983, Tigopesa 0719744954, CRDB 0150633516500 GIFTED HEARTS FOUNDATION.