Simplee_tz

Simplee_tz Kwa habari za wasanii na burudani LIKE page hii!!

⛔️ NIUNGE KWENYE MAGROUP YA WHATSAPP 👍0716 611 379👈 PIA K**A UNA MALALAMIKO AU KERO POPOTE ULIPO MWANAFAMILIA NIANDIKIE | Kazi yangu kukupa habari za ENTERTAINMENT na STORY ZA WASANII..!!

31/08/2026
Sisi Watanzania ni MASHAHIDI kwenye hii issue ya Lissu na Mbowe
30/08/2026

Sisi Watanzania ni MASHAHIDI kwenye hii issue ya Lissu na Mbowe

Chadema maneno mengi kumbe mmemtuma mbowe kushiriki uzinduzi wa JNHPP🤣🤣 Mtanyooka tu safari hii
22/08/2026

Chadema maneno mengi kumbe mmemtuma mbowe kushiriki uzinduzi wa JNHPP🤣🤣 Mtanyooka tu safari hii

Sisi Watanzania ndo Tumeamua  mwenye kubishana Wewe kakojoe ukalale tu
19/08/2026

Sisi Watanzania ndo Tumeamua mwenye kubishana Wewe kakojoe ukalale tu

MADEREVA OYEEEE SASA SAFARI HII CONGO UNAENDA KWA AMANI KABISA BILA CHANGAMOTO YOYOTE NA HUYU NDO DKT SAMIA PEKEE ALIYEW...
18/08/2026

MADEREVA OYEEEE SASA SAFARI HII CONGO UNAENDA KWA AMANI KABISA BILA CHANGAMOTO YOYOTE NA HUYU NDO DKT SAMIA PEKEE ALIYEWEZA HILI.. VIONGOZI MBALIMBALI WAMEPITA ILA WAMESHINDWA KUWASAIDIA MADEREVA WA KITANZANIA NCHINI CONGO ILA LEO SASA MALAIKA AMEWASIKIA NA MUNGU WA MBINGUNI AMEJIBU KUPITIA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

18/08/2026

KARIBU SANA TANZANIA RAIS WA CONGO, UJIO WAKO NI WAZI KUWA ZILE CHANGAMOTO ZOTE HASA ZINAZOWAKUTA WAFANYABIASHARA NA MADEREVA NCHINI CONGO SASA ZINAENDA KUISHA KABISA

🤣🤣🤣Kumekucha .. Aya CHADEMA ANAPENDWA NA NANI SASA? POROJO NYINGI MICHANGO HAKUNA 🤣🤣 WATU WAMEJIFUNGUA TU WAMEINGIZA MIL...
06/08/2026

🤣🤣🤣Kumekucha .. Aya CHADEMA ANAPENDWA NA NANI SASA? POROJO NYINGI MICHANGO HAKUNA 🤣🤣 WATU WAMEJIFUNGUA TU WAMEINGIZA MILIONI 500, MBWA AMEKUFA TU WATU WAMEINGIZA MILIONI 80 NYIE SASA CHADEMA MWEZI MZIMA MMEINGIZA LAKI 3 ALAFU MNAJIITA CHAMA KIKUU🤣 KIKUU LABDA KWENYE FAMILIA ZENU ILA KWA WATANZANIA HATUNA SHIDA NA NYIE KABISA 🗑🚮

AMKENI AMKENI AMKENI JAMANI ILA WATANZANIA HAKI MMEJUA KUWAAIBISHA WATU 🤣🤣 DIAMOND HAJAPIGA KELELE WALA NINI ILA KAINGIZ...
05/08/2026

AMKENI AMKENI AMKENI JAMANI ILA WATANZANIA HAKI MMEJUA KUWAAIBISHA WATU 🤣🤣 DIAMOND HAJAPIGA KELELE WALA NINI ILA KAINGIZA MILIONI 500 KWA SIKU 4 TU.. ILA CHADEMA SASA 🤣🤣 KELELE NYINGI WAMECHANGIWA LAKI 3 MWEZI MZIMA.. HII NI ISHARA KUWA KATI YA CHADEMA NA DIAMOND BASI DIAMOND ANAPENDWA KULIKO CHADEMA🤣🤣 POLEEE🗑🚮

🤣🤣🤣🤣
05/08/2026

🤣🤣🤣🤣

Kwani CHADEMA zile Mbwembwe za Nyie ndo kila kitu nyie ndo Watanzania zimeishia wapi?🤣 Juzi mmempigia magoti DPP leo mna...
04/08/2026

Kwani CHADEMA zile Mbwembwe za Nyie ndo kila kitu nyie ndo Watanzania zimeishia wapi?🤣 Juzi mmempigia magoti DPP leo mnakimbilia kwa viongozi wa Dini 🤣🤣 mmeangaika katika mataifa ya nje huko mmeambulia patupu sasa mmesalenda mnabaki kuomba omba nchini.. yaani Safari yenu mwisho imekaribia hamuwezi kamwe kushindana na Dora milele yote paka shume nyie CHADEMA wote

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simplee_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share