06/05/2026
Menejimenti ya ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji imekutana na Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa na kuwasilisha taarifa ya utelekezaji wa shughuli za TASAF, pamoja na maandalizi ya Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini.