TASAF Tanzania

TASAF Tanzania Ukurasa rasmi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)

Menejimenti ya   ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji  imekutana  na Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia...
06/05/2026

Menejimenti ya ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji imekutana na Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa na kuwasilisha taarifa ya utelekezaji wa shughuli za TASAF, pamoja na maandalizi ya Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini.

  inawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.
01/05/2026

inawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.

Tunawatakia watanzania wote kumbukizi njema ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
26/04/2026

Tunawatakia watanzania wote kumbukizi njema ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii   tunashiriki kwenye mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaofanyika ...
22/04/2026

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii tunashiriki kwenye mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaofanyika jijini Arusha kwa siku mbili.

22/04/2026

Kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa .tanzania, kaya za wanufaika zimeweza kuanzisha shughuli mbalimbali za ujasiriamali zinazowawezesha kupata mahitaji na huduma muhimu zinazowasaidia kuboresha hali zao za maisha.

Ujenzi wa miundombinu ya shule kupitia Uendeleaji Miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Igogwe Manispaa ya Ilemela, M...
19/04/2026

Ujenzi wa miundombinu ya shule kupitia Uendeleaji Miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Igogwe Manispaa ya Ilemela, Mwanza uliofadhiliwa na kupitia , umeboresha mazingira ya kujifunza na kuongeza mahudhurio kwa wanafunzi shuleni.

.Tanzania has an opening for; i. Monitoring, Evaluation  & Learning Officer (1 Post)ii. Procurement Officer (1 Post)iii....
08/04/2026

.Tanzania has an opening for;

i. Monitoring, Evaluation & Learning Officer (1 Post)
ii. Procurement Officer (1 Post)
iii. Motor Vehicle Mechanic (1 Post)

To apply, interested candidates should visit our website www.tasaf.go.tz

Application Deadline: 7 May 2026

Tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya Hayati Abeid Amani Karume, tunajikumbusha na kuenzi uongozi wake ulioacha alama  k...
07/04/2026

Tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya Hayati Abeid Amani Karume, tunajikumbusha na kuenzi uongozi wake ulioacha alama katika kuleta umoja na maendeleo kwa wote.

Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Pasaka
05/04/2026

Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Pasaka

Tunawatakia Watanzania wote Ijumaa Kuu njema.
03/04/2026

Tunawatakia Watanzania wote Ijumaa Kuu njema.

Katika muendelezo wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani  , wiki hii, Meneja Rasilimali Watu wa Mfuko wa Maendeleo y...
28/03/2026

Katika muendelezo wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani , wiki hii, Meneja Rasilimali Watu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Bi. Mariam Al-jabiri akiwa ameambatana na baadhi ya watumishi, walikabidhi msaada wa kuwalipia matibabu pamoja na vifaa tiba kwa wagonjwa wanaopatiwa huduma katika Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam.

Address

S. L. P 2719
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TASAF Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to TASAF Tanzania:

Share