15/05/2026
Jukwaa la Biashara na Uwekezaji la Tanzania na Urusi linafanyika leo Mei 15, 2026 Ukumbi wa AICC,Mkoani Arusha. Jukwaa hilo la siku moja, litahusisha majadiliano ya kibiashara kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na Urusi.
Ukurasa Rasmi wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania | Official account of the Chief Spokesperson of the Government of Tanzania.
Dodoma
Be the first to know and let us send you an email when Msemaji Mkuu wa Serikali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Msemaji Mkuu wa Serikali: