Msemaji Mkuu wa Serikali

Msemaji Mkuu wa Serikali Ukurasa Rasmi wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania | Official account of the Chief Spokesperson of the Government of Tanzania.

02/09/2026

Kongamano la Tano la Kitaifa la Ushiriki wa Watanzania katika Miradi ya Kimkakati na Uwekezaji linafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa PSSSF, jijini Dodoma

Wakati huu ukiwa nyumbani, sikiliza MAELEZO PODCASTS upate elimu na ufafanuzi juu ya uwepo wa mvua kubwa za El Niño na t...
01/09/2026

Wakati huu ukiwa nyumbani, sikiliza MAELEZO PODCASTS upate elimu na ufafanuzi juu ya uwepo wa mvua kubwa za El Niño na tahadhari za kuchukua🎙️

Apple Podcasts: https://podcasts.apple.com/tz/podcast/maelezo-podcasts/id1506559068?i=1000786922025

Amazon Music: https://music.amazon.com/podcasts/b6afc368-e3e8-4385-99f5-3391ab6b135b/episodes/bc4b4c9c-eeea-42af-94ab-78b6515bebab/maelezo-podcasts-tahadhari-ya-mvua-za-el-ni%C3%B1o-kuanzia-oktoba-2026

Spotify: https://open.spotify.com/episode/0gcaIlBCnW7Mc2tr6vEU5V?si=9tk4TXJ-TeSXUR49ueONug&utm_source=copy-link

👆🏼Hizo ni baadhi tu ya channel tunazopatikana, tupo kwenye Audio Channel zote 📌

MAELEZO PODCASTS · Episode

01/09/2026

Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Serikali kutokea Mkoani Morogoro , Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaaa na Michezo na Msamaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa atatoa taarifa ya Serikali kwa Umma wa Watanzania pamoja na kueleza mambo mbalimbali yaliyofanywa na yatakayofanywa na Serikali sambamba na kujibu maswali mbalimbali toka kwa Waandishi wa Habari, Taarifa hii itawajia kutokea Kituo cha Ukombozi cha Bara la Afrika Posta Jijini Dar es Salaam.

Katika kujenga uelewa kuhusu Ugonjwa wa Saratani, kupitia Maelezo Podcast tumemualika Daktari Bingwa wa magonjwa ya Sara...
30/08/2026

Katika kujenga uelewa kuhusu Ugonjwa wa Saratani, kupitia Maelezo Podcast tumemualika Daktari Bingwa wa magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (OTCI), Dkt. Chrispin Kahesa, tumezungumza kuhusu Saratani na namna inavyoathiri makundi mbalimbali katika jamii, jitihada za kuzuia na tiba ya saratani.

Bofya kusikiliza 👇🏾

https://www.buzzsprout.com/988291/episodes/19720972

Sikiliza MAELEZO PODCASTS — Tupo kwenye audio channels zote 📌

Katika kujenga uelewa kuhusu ugonjwa wa saratani, kupitia Maelezo Podcast tumemualika Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Dkt. Chrispin Kahesa, tumezungumza kuhusu saratani na namna inavyoathiri ...

29/08/2026
24/08/2026

Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Serikali kutokea Mkoani Morogoro , Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaaa na Michezo na Msamaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa atatoa taarifa ya Serikali kwa Umma wa Watanzania pamoja na kueleza mambo mbalimbali yaliyofanywa na yatakayofanywa na Serikali sambamba na kujibu maswali mbalimbali toka kwa Waandishi wa Habari, Taarifa hii itawajia kutokea Kambi ya wapigania Uhuru Mazimbu Mkoani Morogoro.

20/08/2026

Mkutano wa waandishi wa Habari,Kueleza Utekelezaji wa Mwaka wa Fedha 2025/26 na Mwelekeo wa 2026/27,Ambapo leo ni zamu ya Bw, Denis Kwame Simba Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuongea na na Waaandishi wa Habari Jijini Dodoma, Kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo iliyopo kwenye Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaaa na Michezo kwenye mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.

19/08/2026

Mkutano wa waandishi wa Habari,Kueleza Utekelezaji wa Mwaka wa Fedha 2025/26 na Mwelekeo wa 2026/27,Ambapo leo ni zamu ya Dkt, Diwani Msemo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) kuongea na na Waaandishi wa Habari Jijini Dodoma, Kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo iliyopo kwenye Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaaa na Michezo kwenye mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Msemaji Mkuu wa Serikali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Msemaji Mkuu wa Serikali:

Shortcuts

Share