Bunge la Tanzania

Bunge la Tanzania Tanzania Parliament is the Supreme Legislature of the country It consists of the President of the United Republic and the National Assembly.
(3)

Tanzania Parliament like its counterparts, in other countries, is the Supreme Legislature of the country. It grants money for running the administration of the country and is a very effective instrument for overseeing Government programs and plans. It can also oversee the action of the Executive by being a watchdog to ensure that government is accountable for its administration. The most important

function of Parliament is to make laws. The subjects on which Parliament can legislate have been laid down in the Constitution. Parliament is sovereign in the sphere of Legislation. The scheme of our Constitution being a United Republic, the Tanzania parliament that is a Union Parliament exercises autonomous powers in the sphere of both Union and Non union Matters which are not under the purview of Zanzibar Government. In view of that parliament can assumes the following roles:

To pass laws for the good governance. To provide, by giving legislative sanction to taxation and acquisition
of means to carrying out the work of the government. To scrutinize government policy and administration, including
proposal for expenditure; and to debate major issues of the day

Waheshimiwa Wabunge wamepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo Juni 0...
02/06/2026

Waheshimiwa Wabunge wamepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo Juni 02, 2026 Bungeni Jijini Dodoma.

02/06/2026

. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA MOJA TAREHE 02 JUNI, 2026

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis M***a Omar amewasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa ...
02/06/2026

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis M***a Omar amewasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo Juni 02, 2026 Bungeni Jijini Dodoma.

02/06/2026

Waheshimiwa Wabunge walivyowasili Bungeni kushiriki Kikao cha 41 cha Mkutano wa 3 wa Bunge la 13, leo Juni 02, 2026 Jijini, Dodoma.

02/06/2026

Orodha ya Shughuli, Bunge la 13 Mkutano wa 3, Kikao cha 41 leo Juni 2, 2026.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. M***a Azzan Zungu (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Spika...
01/06/2026

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. M***a Azzan Zungu (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Macedonia Kaskazini, Mhe. Afrim Gashi leo tarehe 01 Juni, 2026, Skopje, Jamhuri ya Macedonia Kaskazini.

Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano wa Kibunge baina ya Tanzania na Jamhuri ya Macedonia Kaskazini.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. M***a Azzan Zungu (Mb), ameshiriki Mkutano wa 14 wa Bunge la Kim...
01/06/2026

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. M***a Azzan Zungu (Mb), ameshiriki Mkutano wa 14 wa Bunge la Kimataifa linalojishughulisha na masuala ya Uvumilivu na Amani, leo tarehe 01 Juni, 2026, Skopje, Jamhuri ya Macedonia Kaskazini, ambapo Bunge la Macedonia Kaskazini ndio Mwenyeji wa Mkutano huo.

Waheshimiwa Wabunge wamejadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wan...
01/06/2026

Waheshimiwa Wabunge wamejadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo Juni 01, 2026 Bungeni Jijini Dodoma.

01/06/2026

. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI TAREHE 01 JUNI, 2026

Address

10th Morogoro Road, P. O. Box 941, 40490 Tambukareli
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bunge la Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Bunge la Tanzania:

Share