03/09/2026
Wabunge Vijana wamepatiwa mafunzo kuhusu masuala ya Uongozi, Maadili pamoja na Akili ya Hisia.
Mafunzo hayo yamefanyika leo Bungeni jijini Dodoma lengo likiwa ni kuwajengea uwezo katika kufanya maamuzi chanya wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.
Wamemshukuru Spika wa Bunge Mheshimiwa M***a Azzan Zungu kwa kuwezesha mafunzo hayo yalitolewa na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Prof. Elisante Ole Gabriel.