20/05/2026
1.TUUNGANE KUPINGA NDOA ZA UTOTONI
Ndoa za utotoni bado zinaendelea kuwa changamoto kubwa ndani na nje ya taifa letu. Watoto wengi wananyimwa haki yao ya elimu, afya bora na nafasi ya kutimiza ndoto zao kutokana na kuingizwa kwenye ndoa wakiwa bado wadogo.
Tunaziomba serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali, viongozi wa dini, jamii pamoja na wadau wote wa maendeleo tuungane kwa pamoja kupinga na kutokomeza vitendo hivi. Kila mtoto anastahili kulindwa, kupewa elimu na kuishi maisha salama yenye matumaini ya kesho bora.
✋ Tuseme kwa sauti moja:
“Mtoto ni wa shule na malezi bora, si wa ndoa za utotoni.”
Katilihaendimbinguni
2.🚫LET'S UNITE TO OPPOSE CHILD MARRIAGE
Child marriage continues to be a major challenge within and outside our nation. Many children are denied their right to education, good health and the opportunity to fulfill their dreams due to being forced into marriage at a young age.
We call on governments, non-governmental organizations, religious leaders, communities and all development stakeholders to unite together to oppose and eradicate these practices. Every child deserves to be protected, educated and live a safe life with hope for a better tomorrow.
✋ Let's say with one voice:
“A child belongs to a good school and upbringing, not to child marriage.”
StopChildMarriage
CareForChild
EducationFirst
UniteAgainstViolence
StopChildMarriage
A murderer does not go to heaven.