23/11/2017
E mwenyezi Mungu
Mwingi wa rehema
Ulie umba mbingu na
Vitu vyote
Tunakuomba uwajalie
Ndugu zete na wazazi wetu kaka na dada zetu uwanusuru na kesi
Yao naomba utupe nguvu ili Tufanikiwe kuwakomboa kutoka katika
Hukumu ya wanadamu
Wewe ndie mwenye hukumu ya ukweli
Mungu ibariki kongwa Na uibariki
Mlanga maisha yawe na Amani
K**a zamani wewe ni kimbilio letu
Twakuomba usikie kilio chetu
Utuondoshe ktk Tabu
Zote hizoo na omba
Upendo urudi baina yetu .