16/01/2024
: Nyota wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso ambaye anakipiga Yanga SC, Stephane Aziz Ki amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka NBC Premier League (NBC PL) βkukiwashaβ kwenye michuano ya .
Aziz Ki ametumia dakika 85 kulipambania taifa lake dhidi ya Mauritania.
Je, baada ya Aziz Ki, nani anafuata kutoka NBC PL?
FT: Burkina Faso 1-0 Mauritania
Mechi iliyopo hewani muda huu ni Tunia dhidi ya Namibia LIVE
Kumbuka mechi zote 52 za AFCON Live na kwa ung'avu wa HD kupitia na .
Lipia mapema kifurushi chako cha shilingi 25,000 ili usipitwe na fainali hizi.
(Imeandikwa na )