26/06/2022
MWANDISHI: Beatho Benedict.
SEHEMU YA ISHIRINI NA THERATHINI.
MAWASILIANO;
▶️WhatsApp- 0767464146.
▶️ Gmail- [email protected]
▶️ Website- storiesandscriptwriter.worldpress.com
👉TULIPOISHIA......
"Ebu, kwahiyo unataka kusema Ile mimba Prisca hakuitoa si ndiyo!"
"Iligoma kutoka?"
"Yuko wapi sasa mwanangu?"
Ikiwa ni siku inayo fuata ndio Ile ya mwanzo kabisa mwasimulizi yetu, mimi nilipo mkuta kijana nje ya nyumba yake akiwa na mwanamke alie jiita mwenyewe kua ni mama mtu!
Basi hao walikua ni Yubeti na mama yake, Prisca! Na yote uliyosoma ndiyo yaliyo pelekea kuto kua na maelewano mazur kati ya mama na mtoto yaani Prisca na Yubeti.
Endelea.........
Ni Serina alie amua kumfwa rafiki yake Prisca, amwsmbie nini walifanya kule kwa hoteli kati yake na Yubeti.
"Kumbe ulikua unafahamu siku zote kua yule ndio Yubeti, lakini hukutaka kuniambia! Kwani laki Serina?"
Akilalama Prisca baada ya kumwona rafiki yake wa siku nyingi kamtembelea.
Na hopo ndio tunapata kujua ilikuaje kule hotelini?
Baada ya maandalizi yote Prisca alifanya na kukubaliana kukutana na Yubeti kwaajiri ya faragha yao ya kwanza tangu wawe wapenzi!
Kila kitu kulikua shwali mbaka pale Yubeti alipo ingia, kwa mahaba na furaha kubwa alimkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu the na wakatulia Ivo kwa mda.
Na vile Prisca ni fundi, mtundu kwa maswala mazima ya chumbani hakutaka kusubiri alianza kumsaula Yubeti! Alimtoa koti lake la suti akamtoa na tai...... Lakini alipo taka kumfungua mkanda, Yubeti akamuzuia!
🤙Hello watu wangu wa nguvu mkipita pale YouTube Niko na kawimbo kangu mnaweza kukatizama kidogo channel inaitwa na utaona vingi tu uko karibuni 🎶🎶🎶🎶🎶🎶
🏹Usisahau;🤏 KU_ SUBSCRIBE
🤏 LIKE
🤏 COMMENT & SHARE
👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
"Kwanini? Au mkeo hajawai kukufanyia ivi na unajiskia aibu!"
Aliuliza Prisca, lakini Yubeti hakumjibu alichukua begi yake ya mkononi maarufu k**a blufukesi na kuifungua, na alionekana kushika picha, picha flani iliyo choka kidogo, dhahiri ilionekana kua ni ya zamani kidogo!
Kwa vile alikua amemgeuzia mgongo! Prisca hakuweza kuona chochote, na Yubeti aliendelea kusimama vile kwa mda akiitizama Ile picha.
"Maisha uliyo ishi, uliishi kwasababu ya pesa, ukafanya kila kitu kwaajili ya pesa na hukuhofu chochote mbele ya pesa!"
Alisema Yubeti akiwa ameshika Ile picha na alipo geuka, aligeuka na Ile blufukesi na ilikua imekaa pesa!
"Kelvini mbona sikuelewi?"
Aliuliza kwa mshangaao Prisca, kwani Yubeti alimfahamu k**a Kelvini yeye alivo tambulishwa.
"Sijui ni kiasi gani cha pesa ulikua unahitaji katika maisha yako Ili uishi k**a wa binadamu mwenye hisia na aibu hata hofu!"
Kwa vile Prisca hakujua kinacho endelea, hakua na mda wa kuikataa Ile pesa! Na hakika zilikua millioni kadhaa.
"Sikuja kwa jambo lolote mimi apa, ila Nina jambo dog Naomba unisaidie!"
Yubeti alimkabidhi Prisca mama yake Ile picha, ni picha Yubeti alipatiwa na bibi yake, mwanzo kabisa alipo kua akimpa hadithi ya kuzaliwa kwake, picha ya Prisca kipindi angalia binti mdogo, tena angali kijijini.
Prisca alistuka sana alipo mwona mtu yule wa kwenye picha, akamwangalia Yubeti Vuzuri! Kunataswira ilimjia kichwani mwake, Kila alipo mtizama Yubeti kuanzia kimo chake, mwili wake flani sio kubwa sio dogo, bashasha na malingo yake anapo ongea lazima atenbeetembee k**a amesimama lakini pia mikono huenda kwa vitendo!
Kumbukumbu flani mfano wa radio ziligonga kichwani mwake, alikumbuka takribani miaka ishirini iliyo pita kuna mwanaume k**a huyo alisimama mbele yake namna Ile na kumulaumu sana!
"Kwasababu ya pesa, ndio unafanya yote haya! Huna hofu, huna hisia wewe? Yule mwanamke anakuhalibia maisha yako wewe! Kwanini lakini wewe, nikisema nitafanya Kila kitu angalau unidhalie uyo mtoto, mwisho wa siku umetoa mimba yangu Prisca
"Inamaana Mungu alikupa uzuri akakunyima upendo wewe! Mbona hufanani na matendo Yako we mwanamke?"
🤙Kuna online tv channel inaitwa Nikumbushe TV wapo na kule fanya kuwa na k**a kawaida like, comment, share kwenye post zao na Usisahau ku_
Alikua akilalama sana mwanaume huyo!
Hiyo ni kumbukumbu ya Prisca, lakini bado hakupata picha kamili kujua ni nani huyo mwanaume kwani ni zaidi ya miaka ishilini ilishapita tangu yote ayo yatokee.
"Unamfahamu huyo wa kwenye picha?
"Ni mtu ambae nilitamani kumfahamu na nikamtafuta kujua kuhusu yeye tangu ningari mdogo sana!
"Bibi yangu alinambia huyo ndio mama yangu! Mama alie nipatia zawadi ya jina zuri la Yubeti lakini akaninyima Kila kitu nilichostahili toka kwake kwa pumziko lote la maisha niliyo ishi!
"Anaitwa Prisca ye jina lake, k**a ukimwona mwambie natamani sana kumwona japo mara moja, na umwambie ni Yubeti ndio anataka kuona!"
Wakati Yubeti anaongea yote ayo, ilikua k**a ndoto kwa Prisca, hakuamini k**a inawezekanaj mambo yote yakaishia k**a vile!
Na Yubeti hakua na lakusubili pale k**a ni picha na pesa vyote alimwachia mama yake ambae alishindwa kabisa kufanya chochote ni k**a kupalalaizi, hakua ata na nguvu za Julia adondoshe chizi labda.
Yubeti alitoka zake, na vile alitoka akiwa anavaa Vuzuri baada ya yote yaliyo tokea, na walio mwona walimtafsiri k**a katoka kufanya maangamizi! Hasa kwa upande wa Vivian ambae alimvisha tai mmewe wakati anaondoka lakini alishangaa kuona hana tai shingoni! Mana yake k**a wamevuana nguo hakuna usalama kabisa! Hivo ndivo aliamini Vivie ama Vivian.
Na hata kule Yubeti alimwitia hakutaka kwenda kabisa. Siku iyo Yubeti alikua na kusubiri sana lakini mkewe hakutokea. Na simu yake haikupatikana.
Hapo to alipata wazo la kukagua jumbe za maandishi alizo tumiwa kwa simu yake.
Akagundua mchongo ulivuja, na k**a ulivuja basi huenda hata mkewe kapata habari! Ikambidi awai nyumbani.
Nikweli hali ya hewa haikua shwali, baada ya kiingia tu ndani na mkewe kumwona alisimama na kumnasa vibao ye kwenye shavu lake hata bila maelezo!
"Nambie umefanya nini wewe, tai niliyo kufunga nani huyo kaifungua?"
Apo Yubeti ndio akakumbuka k**a alivuliwa pale hotelini, lakini hakua na chakujiekeza
"Ivi Yubeti! Unakaribia kua chizi siyo, ivi inawezekanaje wewe kutembea na mama yako!"
"Inawezejana nishakua chizi, vipi unafikiri kwa akiri ata za kuanza kua chizi mi naweza kufanya Ivo!"
"Kwahiyo unataka kubisha sio? Basi nambie ulikua wapi leo!"
Vivian alikua kavurugwa kweli, alikwenda jikoni na kutoka na kisu na alihitaji kumdhuru nacho, lakini bahati nzuri Yubeti akiona, kisu kilikua kinaenda kumkita kifuani akakizuia kwa mkono!
🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐
🏹unataka kujua kilichotokea baada ya hapo?
Kwa wakati k**a huo Yubetiatamweleweshaje Vivian k**a hajafanya chochote na mama yake.
*Tukutane jumapili ijayo apa apa? STORE OF STORIES
👉 We baki na mimi!
Like, comment and share na a,usisahau a kulike ukulasa huu ili usipitwe na simulizi zangu.
🙏🙏🙏🙏🙏