Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi

Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi Ukurasa Rasmi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi Katavi.

HABARI PICHA: RC MRINDOKO AWAKABIDHI VYETI NA ZAWADI YA Tsh. 500,000/= KILA MFANYAKAZI HODARIKWA MWAKA 2025/26 KUTOKA HO...
01/05/2026

HABARI PICHA: RC MRINDOKO AWAKABIDHI VYETI NA ZAWADI YA Tsh. 500,000/= KILA MFANYAKAZI HODARI
KWA MWAKA 2025/26 KUTOKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA KATAVI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko leo Mei 1, 2026 amewakabidhi Vyeti na Fedha Taslimu Laki 5 kwa kila Mfanyakazi Hodari kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi.

Akikabidhi vyeti hivyo kwenye maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei 1, 2026, Mhe. Mrindoko amewapongeza Watumishi hao na Wengine walioshinda kutoka katika Taasisi mbalimbali za Serikali na kuwahimiza kuendelea kufanya kazi kwa bidii.

Waliokabidhiwa vyeti hivyo ni Dr. Omary Yusuph kutoka Idara ya Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Mr. Othuman Chimwala kutoka Wodi ya ICU, Ms. Grace Nkorabiga kutoka Wodi ya ICU, Ms. Belinda Mollel kutoka Famasi na M. Alphonce Kalobelo kutoka Utawala.

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi kimkoa yamefanyika katika viwanja vya Kashauriri na Mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni "Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050".

Kutana na Dr. Magreth Elias kwenye Kliniki ya Kibingwa ya Upasuaji wa Mfumo wa Mkojo na Afya ya uzazi kwa Wanaume kila s...
29/04/2026

Kutana na Dr. Magreth Elias kwenye Kliniki ya Kibingwa ya Upasuaji wa Mfumo wa Mkojo na Afya ya uzazi kwa Wanaume kila siku Jumatatu hadi Ijumaa.

27/04/2026

"Wiki ya Afya Kitaifa sambamba na Wiki ya Chanjo Afrika ni fursa muhimu ya kuimarisha afya zetu kupitia huduma za Afya,lishe bora na usafi wa mazingira na kinga dhidi ya magonjwa. Hivyo, tunatoa msisitizo umuhimu wa Chanjo kwa watoto ili kuimarisha Kinga" Dkt.Rahma Hingora, Mkurugenzi Msaidizi kutoka Wizara ya Afya.

Tunawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
26/04/2026

Tunawatakia Watanzania wote maadhimisho mema ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Bodi ya Ushauri na Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi unawapongeza watumishi wote waliochaguliwa kuwa Wafan...
23/04/2026

Bodi ya Ushauri na Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi unawapongeza watumishi wote waliochaguliwa kuwa Wafanyakazi Hodari kwa mwaka 2025/26.

Karibu tukuhudumie
21/04/2026

Karibu tukuhudumie

20/04/2026

VIDEO: Je, Unaelewa nini kuhusu Afya ya Akili..? Unajua Chanzo na Dalili za mtu mwenye changamoto ya afya ya akili..?

Leo Aprili 20, 2026 tumekuletea Dr. Edward Bucheye, Daktari Bingwa wa Afya na Magonjwa ya Akili, ambaye ameelezea kwa undani juu ya Magonjwa ya Afya ya Akili.

Katika Hospitali yetu ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi, Pia tunatoa ushauri na huduma ya Changamoto ya Afya ya Akili, Karibuni tuwahudumie.

17/04/2026

VIDEO: Fahamu faida na umuhimu wa Mama Mjamzito kuhudhuria Kliniki.

Katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tuna Kliniki ya Kibingwa ya Magonjwa ya Wanawake na uzazi, Karibu tukuhudumie.

Karibu Tukuhudumie
14/04/2026

Karibu Tukuhudumie

08/04/2026

HII NDIO RATIBA YA KLINIKI ZETU ZA KIBINGWA NA BINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA KATAVI, KARIBU TUKUHUDUMIE.

"Huduma Bora ni Kipaumbele chetu"

Uongozi na Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tunaungana na Watanzania wote katika kumbukizi ya kifo cha ...
07/04/2026

Uongozi na Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tunaungana na Watanzania wote katika kumbukizi ya kifo cha Sheikh Abeid Aman Karume, Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Bodi ya Ushauri, Menejimenti na Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tunawatakia Wakristo na Watanzania wot...
05/04/2026

Bodi ya Ushauri, Menejimenti na Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tunawatakia Wakristo na Watanzania wote kheri ya Sikukuu ya Pasaka.

Address

P. O BOX
Mpanda
449

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi:

Share