Kampuni ya Meli Tanzania

Kampuni ya Meli Tanzania KAMPUNI YA MELI TANZANIA (TASHICO) ilijulikana k**a MSCL ilianzishwa rasmi tarehe 8/12/1997 baada ya kutenganishwa kutoka katika shirika la reli nchini(TRC).

TASHICO ni Kampuni ya Serikali inayosafirisha abiria na mizigo katika Maziwa Makuu.

19/08/2026

NAHODHA MKONGWE WA TASHICO AELEZEA JINSI ANAVYOITAZAMA MV LIEMBA KWA SASA BAADA YA UKARABATI.

18/08/2026

HAYA HAPA MAELEZO KAMILI NA RATIBA YA MKANDARASI KUHUSU MAANDALIZI YA ENEO LA UJENZI WA MELI MPYA ZIWA TANGANYIKA.

17/08/2026
17/08/2026

TASHICO YAELEZEA MAANDALIZI HATUA ZA AWALI UJENZI WA MELI MPYA ZIWA TANGANYIKA.

15/08/2026

WAZIRI MBARAWA ASHUHUDIA MV LIEMBA IKITEMBEA KWA JARIBIO LA MITAMBO.

Jaribio hili ni hatua za mwisho za ukaguzi unaohusisha wataalamu kutathmini utendaji kazi mitambo mipya iliyofungwa ndani ya meli.

14/08/2026

RASMI TASHICO YAANZA MAANDALIZI UJENZI WA MELI MPYA KIGOMA - MKANDARASI AANZA KAZI ZA AWALI.

14/08/2026
08/08/2026

HITIMISHO NANENANE KANDA YA MAGHARIBI - RC AONGEZA SIKU MBILI WANANCHI KUENDELEA KUPATA HUDUMA- MWANZA

05/08/2026

TASHICO yasogeza Huduma kwa Mteja Nanenane Dodoma, Mwanza na Bukoba

Address

Tanzania Shipping Company Ltd
Mwanza
33000

Opening Hours

Monday 07:30 - 17:30
Tuesday 07:30 - 17:30
Wednesday 07:30 - 17:30
Thursday 07:30 - 17:30
Friday 07:30 - 17:30
Saturday 07:30 - 17:30
Sunday 07:30 - 17:30

Telephone

+255739606600

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kampuni ya Meli Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Kampuni ya Meli Tanzania:

Shortcuts

Share