25/01/2022
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh. Dunstan Kyobya (wa pili kutoka kulia) akiwa pamoja na Mh. Emmanuel Mwaigobeko Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani (wa pili kushoto) na Afisa Elimu (M) Mtwara Mikindani Bi Flora Aloyce (wa kwanza kulia) na Meneja Mradi wa FUNEDU, Bi Dina Lwendo, wakiwa katika picha ya pamoja na watoto na wazazi wa watoto waliofanya vizuri mtihani wa kumaliza darasa la saba 2021 katika manispaa ya Mtwara Mikindani.