Kiwia Tz.

Kiwia Tz. Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kiwia Tz., kirekibizzo@gmail. com, Old Moshi.

Habari yako , nimeona umepost stori ya Binti mmoja hapo anasema toka atembee na baba mmoja aliye kuwa anampa pesa sana H...
01/06/2026

Habari yako , nimeona umepost stori ya Binti mmoja hapo anasema toka atembee na baba mmoja aliye kuwa anampa pesa sana Hedhi yake inakuja Mfululizo bila mpangilio.

Naomba ukipata muda upost hiki kisa changu, baada ya kuona hiyo stori nimekumbuka kitu kimoja, Mimi nimewahi kwenda Kwa Mganga kutafuta utajiri ila masharti mengi niliyo kuwa napewa nilishindwa kwakweli japo mengine yali onekana ni mepesi ila Roho yangu ilikuwa ngumu Kukubaliana.

Niliwahi kwenda Kwa huyo Mganga akanipa sharti jepesi akaniambia nitakuwa Natembea na mabinti watatu Kila wiki, na hao mabinti inatakiwa wawe chini ya miaka 20, nikamwuliza Sasa nitakuwa nawajuaje? Akaniambia kwenye pesa hakishindikani kitu, akaniambia atanipa dawa ya kutambua umri wao na Wala siyo kazi ngumu.

Nikamwuliza, Sasa nikisha tembea nao itakuwaje? Akaniambia ndo pesa hizo, Sasa shida ilikuja nilipo mwuliza k**a hao mabinti hawapati madhara? Ndo akaniambia hawapati madhara ila maisha yao yote hawato ishi Kwa amani, Yani hawawezi tena kupata mahusiano ya kueleweka, hata akipata mwanaume aliye siriaz baada ya muda huyo mwanaume lazima abadilike ghafla, Kwa kifupi maisha Yao yote ni kuteseka, na hata akiolewa lazima aachike, na hakuna atakacho fanya akafanikiwa kwenye maisha yake yote.

Mganga aliniambia, hayo mateso kwenye maisha Yao ndo pesa zinavyo miminika kwako, hawapati madhara yoyote zaidi ya kukosa amani kwenye maisha yao, kuchukiwa n,k.

Nilitafakari hayo mambo nikaona hapana siyo sawa, Sasa nilivyo ona hiyo post nikakumbuka hiki kitu ni k**a vina endana na hili tukio Langu.

Na kitu Cha mwisho Cha kuwaambia watu, wajiulize kwanini matajiri wengi Wana penda mabinti wadogo? Hiyo ni Siri kubwa sana ukipenda kukaa na matajiri ndo utajua Siri hiyo. member

15/05/2026

Kuna akili ya kutafuta pesa, akili ya kutunza pesa, na akili ya kuzalisha pesa, hizo ni akili tatu tofauti, hizi skills usipokuwa nazo k**a kijana., umeisha

23/09/2025

πŸ‘€πŸ—£οΈ *Faraja Iko katika kujua kwamba hata giza Lina mwisho*

🎀🎀 Cha muhimu mtangulize MUNGU tu

23/09/2025

πŸ™†β€β™€οΈπŸ§β€β™€οΈ Kupoteza viatu vyako kanisani au msikitini ni janga dogo kuliko viatu vyako kutokuonekana kanisan Wala msikitini

✍️✍️ Rudia kusoma utaelewa🀝🀝🀝🀝

23/09/2025

K**A MKEO ANA MAHUSIANO NA MWANAUME MWINGINE, JUA KWAMBA MKEO NDIO CHANZO CHA HAYO MAHUSIANO NA WALA SIO HUYO MWANAUME.

Mpendwa mwanaume acha tuongeee hili kwa uwazi, kuna vitu ni lazima tuambiane ukweli hata k**a utatatizika kuvichukua.

K**a itatokea siku unagundua mkeo ana uhusiano na mwanaume mwingine, usipoteze muda kugombana na huyo mwanaume, wala usipigane na huyo mwanaume, wala usidhani huyo mwanaume alifanya jitihada nyingi kumpata mkeo, sio kweli. Mwanamke wako alifungua mlango ili jamaa aingie, mwanamke wako alijiweka katika hali ya kupatikana.

Kati ya kitu cha hatari zaidi kwa mwanaume ni kutongoza mke wa mtu, wanaume wanajua hili na huwa wapo makini, hawatongozi mke wa mtu hovyo hovyo, ni hadi pale wanapoona huyo mkeo kaacha nafasi hiyo. Wanaume hawana ujasiri wa kutongoza mke wa mtu, ni hadi pale huyo mkeo akatoa ishara, akaonyesha kuvutiwa na huyo mwanaume, hapo ndipo mwanaume anaangukia kwenye huo mtego.

Elewa kwa uwazi hapa, mara nyingi k**a sio zote mwanamke wako ndio anaanzisha hayo mahusiano bila kusema, kuna vitu anafanya ambavyo yeye anajua anachokifanya, na wanaume huwa wanaelewa vizuri bila kuambiwa neno lolote.

β–  Zile alama anazo muonyesha mwanaume mwingine.
β–  Anavyovaa akiwa mbele ya huyo mwanaume.
β–  Anavyojikesha kwa nguvu hata kwa kitu ambacho hakichekeshi, ikiwa tu aliyeongea ni huyo mwanaume.
β–  Anavyokaa mbele ya huyo mwanaume, mikao ya kihasara hasara.
β–  Anamlalamikia kuhusu shida za kwenye mahusiano yake.
β–  Jinsi anavyomuangalia mwanaume huyo kwa kugonganisha macho kwa muda mrefu.

Hapo ndio humvuta mwanaume huyo, hivyo ndivyo anavyompa ujasiri mwanaume mwingine kuvuka mpaka na kumtaka.

Kwahiyo acha kulaumu mwanaume inapotokea mke wako kasaliti, yeye ndio tatizo.

Mwanamke msaliti wala hajachanganyikiwa, wala hakulazimishwa, alipiga hesabu zake, kakudanganya na akapeleka mwili wake ukatumike na mwanaume mwingine. Na akishakusaliti ataendelea kufanya hivyo tena na tena, weka hilo akilini.

Na wewe k**a mwanaume, acha kukaa na kujadiliana kuhusu usaliti, k**a unasamehe samehe tu ila ukweli ni huo hapo juu. Usitake kujua kilitokea nini hadi ukasalitiwa, usigombane na wanaume wanaolala na mkeo, hawana kosa lolote, kosa ni huyo mwanamke wako.

Ukisalitiwa una machaguo mawili, muache au samehe kwa sababu zako binafsi wala sio kwa sababu alizokupa huyo msaliti.

Lakini kitu muhimu zaidi unachotakiwa kujua ni kwamba, amekusaliti na ataendelea kukusaliti, hiyo wala sio mwisho.

Bye πŸ‘‹ .

Address

Kirekibizzo@gmail. Com
Old Moshi

Telephone

+255752326721

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kiwia Tz. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share