11/10/2017
Hakika mwenda kwao siyo mtoro, na mcheza kwao hutunzwa
"ninayo furaha kubwa kuwaalika Ndugu, jamaa na wahitimu wote waliomaliza Shule ya sekondari Kirongochini kwenye mahafali ya kumi ya kidato cha NNE yatakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 14/10/2017 shuleni Kirongochini. Tunaimani Shule imetoa wataalamu mbalimbali na wafanyabiashara wenye weledi Wa Biashara, hivyo tunaomba wadau wote wenye mapenzi Mema kuendelea kuunga mkono jitihada hizi za Shule katika kuboresha utoaji Wa Elimu nje na ndani ya Shule, karibuni sana ktk mahafali hii ya kipekee""HAIJAWAHI TOKEA FIKA NA JUMUIKA NASI"
Karibuni sana