02/02/2024
Ujenzi wa ofisi ya kijiji ndio project yetu ya kwanza.Mwanzoni tulikuwa hatuna ofisi kwa ajili ya vikao na sehemu ya wanakijiji kukutana na viongozi wao.Kwa sasa ndio kijiji pekee kwa upande wa Amani chenye ofisi nzuri ingawa bado tunazidi kuboresha.Malengo yetu ni kuwa na ofisi ya mfano kwa Tanzania nzima , ofisi yenye mifumo ya kisasa ya tehama yenye taarifa zote muhimu zilizohifadhiwa kwa kitekinolojia.