OMAR A.S AYOUB

OMAR A.S AYOUB Chama Imara

"Mtu mmoja alimtukana Khalid Bin Walid... Naye akamgeukia Akamjibu:  "Hiko ni kitabu chako cha Amali, Basi kijaze chocho...
24/12/2023

"Mtu mmoja alimtukana Khalid Bin Walid... Naye akamgeukia Akamjibu: "Hiko ni kitabu chako cha Amali, Basi kijaze chochote unachokitaka"

Alisema mtu kumwambia Wahab bin Manbah "Hakika Fulani amekutukana... Akamjibu: "Shetani hakumpata wa kumtuma ispokuwa wewe"??

Alikuja mtu Kwa Imam Shafi akamwambia "Fulani anakutaja kwa mabaya... Akamjibu: "K**a Ni kweli basi wewe Ni mfitinishi, Na K**a Ni uongo basi wewe Ni Fasiq, akaona aibu akaondoka..

Naam Usiniambie Nani ananichukia, Ama ananizungumza vibaya, niache Nifurahi na Watu.

17/12/2023
CCM ni Chombo Cha Kutengeneza Viongozi. Twende Tukawasikikize Vijana Makorora. 02-11-2023, Community Center.
29/11/2023

CCM ni Chombo Cha Kutengeneza Viongozi. Twende Tukawasikikize Vijana Makorora. 02-11-2023, Community Center.

28/08/2023
Time Fact
18/07/2023

Time Fact

27/04/2023

Mjumbe wa K**ati ya Siasa ya CCM Mkoa Wa Tanga Omar Ahmed Sheikh Ayoub kwenye Mdahalo wa Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Address

430
Tanga

Telephone

+255712101510

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OMAR A.S AYOUB posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to OMAR A.S AYOUB:

Share