30/04/2026
*ππ UDH-HIYA 1447H / 2026 ππ*
βββββββββββββββββββββββββββββ
*Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh*
Ndugu wadau wa *Al Amal Charitable Foundation*,
Katika kipindi hiki kitukufu cha *Mfungo Tatu Dhul-Hijjah*, Taasisi ya *Al Amal Charitable Foundation* inapokea sadaka za *Udh-hiya/Qurbani* kwa ajili ya kugawa nyama kwa kaya zenye uhitaji.
Kwa ndugu zetu wanaotaka kutekeleza ibada hii lakini hawana sehemu ya kupeleka mnyama au ugawaji, *tupo tayari kupokea na kusimamia* zoezi lote hadi siku ya *Eid-ul-Adha* inshallah.
*π° GHARAMA ZA WANYAMA:*
** #** **Mnyama** **Gharama**
1 Mbuzi 150,000/=
2 Kondoo 150,000/=
3 Ng'ombe 800,000/=
*_βSi nyama wala damu yao ifikayo kwa Allah, bali taqwa yenu ndiyo ifikayo Kwakeβ_[Qur'an 22:37]*
*π± TUMA SADAKA YAKO YA UDH-HIYA:*
*0674435000*
_Jina: Al Amal Charitable Foundation_
*Imeandaliwa na:*
*Katibu: Salmin Ganga*
*Al Amal Charitable Foundation - Tanga*
*30/04/2026*
ββββββββββββββ
* *
*Allah akubalie sadaka yako*