03/09/2026
_*TAARIFA YA KUKABIDHI BAISKELI YA MATAIRI MATATU - TANGA*_
Ndugu wadau wa _Al Amal Charitable Foundation_,
Siku ya leo _Taasisi ya Al Amal Charitable Foundation_ imefanikiwa kufika katika _Kata ya Tangasisi, Mkoani Tanga_.
_Tumefanikiwa kumkabidhi kijana Abdullah Baiskeli ya Matairi Matatu_ kwa lengo la kumrahisishia shughuli zake za kila siku.
_TUNATOA SHUKRANI ZETU ZA DHATI KWA:_
1. _Ndugu zetu wa Sema - Tanga_ kwa ushirikiano mkubwa katika kutatua changamoto hii
2. _Ndugu yetu Ba Magongo_ kwa kusimamia zoezi zima la upatikanaji wa baiskeli hiyo
3. _Wadau wote_ waliotoa mchango wao
_"Na msaidiane katika wema na taqwa"_ [Al-Maidah: 2]
_Allah awalipe kila kheri na azidishie baraka_
---
_Imeandaliwa na:_
_Katibu_
_Salmin Ganga_
_0674435000_
_Al Amal Charitable Foundation_
_Tarehe: 03/09/2026_