Zanzibar Communication Corporation

Zanzibar Communication Corporation Zanzibar Communication Corporation (ZICTIA) established under Act no 4 of 2023.

Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
01/05/2026

Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani

Heri ya Maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
26/04/2026

Heri ya Maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Heri ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
26/04/2026

Heri ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Heri ya siku ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
26/04/2026

Heri ya siku ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mnamo tarehe 21/04/2026,  ZICTIA ilipatiwa mafunzo maalumu kwa wafanyakazi wake kuhusu Mfumo Shirikishi wa Usimamizi wa ...
22/04/2026

Mnamo tarehe 21/04/2026, ZICTIA ilipatiwa mafunzo maalumu kwa wafanyakazi wake kuhusu Mfumo Shirikishi wa Usimamizi wa Rasilimali na Utendaji wa Taasisi (Enterprise Resource Management Suite - ERMS), ikiwa ni hatua muhimu kuelekea kuimarisha ufanisi wa kiutendaji.

Mfumo wa ERMS umebuniwa kusaidia taasisi katika kupanga, kusimamia na kutathmini rasilimali pamoja na utendaji wake kwa njia ya kisasa, yenye tija na inayokidhi mahitaji.

Kupitia mfumo huu, ZICTIA inalenga kuongeza uwazi, uwajibikaji na ubora wa huduma zinazotolewa.

Aidha, ERMS unalenga kurahisisha utekelezaji wa shughuli za taasisi kwa ufanisi wa hali ya juu huku ukizingatia viwango bora vya kitaaluma na kuifanya ZICTIA kuendelea kuwa chachu ya maendeleo katika sekta ya TEHAMA Zanzibar.

Leo Tarehe 20/04/2026, Kamati ya mradi wa Tanzania Digital Project (DTP) imefanya kikao chake katika ofisi kuu za ZICTIA...
20/04/2026

Leo Tarehe 20/04/2026, Kamati ya mradi wa Tanzania Digital Project (DTP) imefanya kikao chake katika ofisi kuu za ZICTIA Mazizini – Zanzibar, kikao ambacho kilihudhuriwa na wajumbe mbali mbali wa k**ati hiyo na kuongozwa na Mwenyekiti wake Ndugu Bakari Mwamgugu.

Lengo la kikao hicho ni kujadili mpango mzima wa utekelezaji wa mradi huo, namna bora ya utekelezaji wake, changamoto zinazokabili mradi pamoja na maazimio ya kikao hicho kwa upande wa Zanzibar.

Heri ya Kumbukizi ya aliekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume. Tutakuenzi daima Shujaa wetu.
07/04/2026

Heri ya Kumbukizi ya aliekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume. Tutakuenzi daima Shujaa wetu.

Heri ya siku ya kuzaliwa Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar, Ndugu Fatma Mabrou...
06/04/2026

Heri ya siku ya kuzaliwa Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar, Ndugu Fatma Mabrouk Khamis. ALLAH akujaalie hekima na busara ya kutuongoza vyema na akupe umri wenye kheri.

Leo tarehe 02 Aprili 2026, maafisa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar wamefanya kikao kazi na Uongozi wa Shirika...
02/04/2026

Leo tarehe 02 Aprili 2026, maafisa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar wamefanya kikao kazi na Uongozi wa Shirika la Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA) katika Ofisi Kuu za ZICTIA Mazizini, Zanzibar. Kikao hicho kiliongozwa na Mkurugenzi wa Masoko na Uwekezaji, Ndugu Abubakar Ali Sheha, kikiwa na lengo la kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mkataba wa Kiutendaji (Performance Contract) kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026. Juhudi hizo ni katika kuhakikisha kiwa mashirika ya Umma yanajiendesha kwa faida na kuleta tija k**a ilivyokusudiwa.

Eid Mubarak
20/03/2026

Eid Mubarak

Address

Mazizini Zanzibar
Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zanzibar Communication Corporation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Zanzibar Communication Corporation:

Share