18/03/2026
Kituo cha Mafunzo ya Sheria na Utafiti Zanzibar kimefanya ziara maalumu ya kuwatembelea watoto yatima katika kituo cha ZASO Fuoni, wilaya ya Magharibi "B" Unguja. Lengo la ziara hiyo ni kuwapa elimu juu ya sheria na kuwakabidhi sadaka ya fedha taslimu.