Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar

Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar ilianzishwa Julai, 2002 kufuatia marekebisho ya nane ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Kituo cha Mafunzo ya Sheria na Utafiti Zanzibar kimefanya ziara maalumu ya kuwatembelea watoto yatima katika kituo cha Z...
18/03/2026

Kituo cha Mafunzo ya Sheria na Utafiti Zanzibar kimefanya ziara maalumu ya kuwatembelea watoto yatima katika kituo cha ZASO Fuoni, wilaya ya Magharibi "B" Unguja. Lengo la ziara hiyo ni kuwapa elimu juu ya sheria na kuwakabidhi sadaka ya fedha taslimu.

Wafanyakazi wa Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wakishiriki katika Mafunzo ya Huduma ya Afya kuhusu wanufaika wa Mfuko wa...
13/03/2026

Wafanyakazi wa Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wakishiriki katika Mafunzo ya Huduma ya Afya kuhusu wanufaika wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Zanzibar yaliyotolewa na Maafisa kutoka Mfuko wa Afya ZHSF yaliyofanyika katika Afisi hiyo Miembeni

13/03/2026

Wafanyakazi wa Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wakishiriki katika Mafunzo ya Huduma ya Afya kuhusu wanufaika wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Zanzibar yaliyotolewa na Maafisa kutoka Mfuko wa Afya ZHSF yaliyofanyika katika Afisi hiyo Miembeni

Washiriki wa Mafunzo ya Vitendo ya Ushughulikiaji wa Majalada ya kesi “CASE FILE MANAGEMENT” yaliyowashikisha watendaji ...
25/02/2026

Washiriki wa Mafunzo ya Vitendo ya Ushughulikiaji wa Majalada ya kesi “CASE FILE MANAGEMENT” yaliyowashikisha watendaji kutoka kada za Masjala, TEHAMA pamoja na wakuu wa Idara kutoka ZAECA na Mamlaka ya kuzuia Madawa ya Kulevya.Kikao kilichofanyika Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Miembeni Unguja

25/02/2026
Karibu katika banda letu la Afisi ya mkurugenzi wa Mashtaka
06/01/2026

Karibu katika banda letu la Afisi ya mkurugenzi wa Mashtaka

Afisa kutoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar  akitoa maelezo kwa  Mwanachi aliofika katika banda la Afisi ya Mk...
06/01/2026

Afisa kutoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar akitoa maelezo kwa Mwanachi aliofika katika banda la Afisi ya Mkurugenzi Wa Mashtaka Zanzibar katika maonesho ya 12 kimataifa ya Biashara viwanja vya Nyamanzi Wilaya ya Magharib B Unguja

Wakili wa serikali mkuu  kutoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar  akitoa maelezo kwa  Mwanachi aliofika katika b...
06/01/2026

Wakili wa serikali mkuu kutoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar akitoa maelezo kwa Mwanachi aliofika katika banda la Afisi ya Mkurugenzi Wa Mashtaka Zanzibar katika maonesho ya 12 kimataifa ya Biashara viwanja vya Nyamanzi Wilaya ya Magharib B Unguja

Address

Miembeni Street
Zanzibar City

Opening Hours

Monday 07:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30
Wednesday 07:30 - 15:30
Thursday 07:30 - 15:30
Friday 07:30 - 15:30

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar:

Share