27/04/2026
🚨 Mikono yako inaweza kuwa hatari kuliko unavyofikiri!
Unaweza kupata ugonjwa wa uharo mkali kwa kula au kugusa kitu kilichochafuliwa na mikono michafu.
🧼 Nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kabla ya:
▪️Kuandaa chakula
▪️Kula
▪️Kumlisha mtoto
▪️Kunyonyesha
👉 Kinga ni bora kuliko tiba.
Usisubiri uharo mkali kukupata – anza na mikono safi leo.
Zanzibar