Spice Media Zanzibar

Spice Media Zanzibar Ukurasa Rasmi Wa Spice Media Zanzibar

14/11/2025

| "Mtoto mwenye tatizo la ulemavu wa akili utamfahamu katika hatua za awali za ukuwaji wake kwa zungingatia namna atakavyo shiriki michezo, kuzungumza pia kupata chakula."

Mwanasakolojia Abdulatif Ahmed akielezea Malezi na mazingira yanavyoathiri ukuaji wa mtoto mwenye ulemavu wa kiakili.

Fuatilia kipindi cha Spice Breakfast kila siku Jumatatu- Ijumaa kuanzia saa 12:00 Asubuhi Hadi 04:00 Asubuhi.

📺SpiceTv kupitia ZMUX Channel No. 21 na Spice Fm

📻Unguja 97.8 MHz
📻Pemba 90.5 MHz

Pia YouTube Spice Media Zanzibar

14/11/2025

| Fahamu mchango wa mazingira katika ukiaji wa mtoto.

Mwanasakolojia Abdulatif Ahmed akielezea Malezi na mazingira yanavyoathiri ukuaji wa mtoto mwenye ulemavu wa kiakili.

Fuatilia kipindi cha Spice Breakfast kila siku Jumatatu- Ijumaa kuanzia saa 12:00 Asubuhi Hadi 04:00 Asubuhi.

📺SpiceTv kupitia ZMUX Channel No. 21 na Spice Fm

📻Unguja 97.8 MHz
📻Pemba 90.5 MHz

Pia YouTube Spice Media Zanzibar

  | Kurasa za Magazeti ya leo Novemba 14, 2025
14/11/2025

| Kurasa za Magazeti ya leo Novemba 14, 2025

14/11/2025

Mchezaji wa Zamani wa klabu ya Simba Sc, AZAM FC Na Namungo FC Ambaye kwa sasa Anakipiga kwenye klabu ya NEW KING FC Inayoshiriki Ligi kuu Zanzibar league.

Erasto Edward Nyoni Amesema Ligi ya Zanzibar Haina Utofauti wa Aina Yoyote na ligi kuu ya Tanzania bara kwa hali ya kimbinu na Ushindani kwa Wachezaji na Timu.
Erasto ameyasema hayo Jana baada ya kumalizika mchezo wao dhidi ya JKU SC na klabu yake ya New King Ikifanikiwa kuibuka na ushindi wa 1-0.

  | "Yanga SC Kuja na wazo la 'Yanga Soccer School' ili kuinua vipaji vya vijana wadogo ni jambo zuri sana lakini wanget...
13/11/2025

| "Yanga SC Kuja na wazo la 'Yanga Soccer School' ili kuinua vipaji vya vijana wadogo ni jambo zuri sana lakini wangetazama kwenye upande wa gharama k**a wanataka kufanikiwa."

"Huo mpango wao wa kuanzisha shule ya michezo kwa sababu ya vijana utakuwa maalum kwa watu fulani kutokana na kiwango cha fedha ya ada kubagua baadhi ya wadau wa soka."



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Mheshimiwa Riziki Pe...
13/11/2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Mheshimiwa Riziki Pemba Juma kuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

Uteuzi huo, umetangazwa leo Novemba 13, 2025 Ikulu Zanzibar, katika mkutano na waandishi wa habari ukiwa na hazimio la kutangaza baraza la mawaziri Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Mheshimiwa Sharif Al...
13/11/2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Mheshimiwa Sharif Ali Sharif kuwa Waziri wa Kazi na Uwekezaji.

Uteuzi huo, umetangazwa leo Novemba 13, 2025 Ikulu Zanzibar, katika mkutano na waandishi wa habari ukiwa na hazimio la kutangaza baraza la mawaziri Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefanya uteuzi wa Mhe. Haroun Ali ...
13/11/2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefanya uteuzi wa Mhe. Haroun Ali Suleiman kuwa Waziri wa Ofisi ya Rais – Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala bora.

Uteuzi huo, umetangazwa leo Novemba 13, 2025 Ikulu Zanzibar, katika mkutano na waandishi wa habari ukiwa na hazimio la kutangaza baraza la mawaziri Zanzibar.

13/11/2025

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa M***a Azzan Zungu akitangaza Jina la Waziri Mkuu aliyeteuliwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kupokea ujumbe maalum kutoka kwa Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri kuhusu uteuzi huo Bungeni leo Novemba 13, 2025.

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt.Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Jina la Mbunge huyo wa Iramba Magharibi limewasilishwa Bungeni kwa ajili ya Waheshimiwa Wabunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

✍️Maoni yako yatasomwa kwenye kipindi cha Spice Breakfast. |  |  | Fuatilia Spice Breakfast kila siku Jumatatu- Ijumaa k...
13/11/2025

✍️Maoni yako yatasomwa kwenye kipindi cha Spice Breakfast.

| | |

Fuatilia Spice Breakfast kila siku Jumatatu- Ijumaa kuanzia saa 12:00 Asubuhi Hadi 04:00 Asubuhi.

📺SpiceTv kupitia ZMUX Channel No. 21 na Spice Fm

📻Unguja 97.8 MHz
📻Pemba 90.5 MHz

Pia YouTube Spice Media Zanzibar

✍️ Maoni yako yatasomwa kwenye kipindi cha   |  |  | RamadhanFuatilia kipindi cha Dozi kila siku Jumatatu- Ijumaa kuanzi...
12/11/2025

✍️ Maoni yako yatasomwa kwenye kipindi cha | | | Ramadhan

Fuatilia kipindi cha Dozi kila siku Jumatatu- Ijumaa kuanzia saa 10:00 jioni Hadi 12:45 kupitia 📺SpiceTv kisimbuzi cha ZMUX Channel No. 21 na Spice Fm

📻Unguja 97.8 MHz
📻Pemba 90.5 MHz

Pia YouTube Spice Media Zanzibar

12/11/2025

| Timu ya Taifa ya Kuwait Club itakuwa kipimo sahihi kwa kocha kwa sababu wemeizidi FIFA Rank Timu yetu ya Tanzania



Address

Zanzibar
Zanzibar City

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Spice Media Zanzibar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share